klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
karib sana. unaombwa kupitia sheria za JF kwenye link ifuatayo JamiiForums Disclaimer and Rules kabla kuanza kupost kitu chochote.
karib sana. unaombwa kupitia sheria za JF kwenye link ifuatayo JamiiForums Disclaimer and Rules kabla kuanza kupost kitu chochote.
hahahahahah lol
na wewe umeanza kunichokoza pia mmmhhh
haki ya Walakhi mnanitafuta humu ndani hahahahah lol
ukipata matatizo yoyote katika utumiaji wa mtandao huu wa JF usisite kuwasiliana na mimi au invizibo. huyo hapo juu ndio wiselady anatokea jukwaa la MMU.hahahah lol
jamani jamani acheni uchokozi basi lol
hahhaah lol
Mohammed ndo alienda kuotoa hii poster huko ilisha poteaga hahah lol
ukipata matatizo yoyote katika utumiaji wa mtandao huu wa JF usisite kuwasiliana na mimi au invizibo. huyo hapo juu ndio wiselady anatokea jukwaa la MMU.
karib tena mgeni wetu
hahahaha lol
mgeni gani kafikisha poster 5000 leo hahahah lol
hahahah lol
jamani jamani acheni uchokozi basi lol
hahhaah lol
Mohammed ndo alienda kuotoa hii poster huko ilisha poteaga hahah lol
haka ka mgeni ketu katukutu kweli aisee! tunakakaribisha yeye kanatuimbia mipashohe he he!ndo naipata leo tena saa hii!hivi kumkaribisha mtu kumbe ni uchokozi eee?wapi dawa ya malaria klorokwin anifafanulie?!so strange!narudia tena karibu swithat afro
he he he!ndo naipata leo tena saa hii!hivi kumkaribisha mtu kumbe ni uchokozi eee?wapi dawa ya malaria klorokwin anifafanulie?!so strange!narudia tena karibu swithat afro
ukipata matatizo yoyote katika utumiaji wa mtandao huu wa JF usisite kuwasiliana na mimi au invizibo. huyo hapo juu ndio wiselady anatokea jukwaa la MMU.
karib tena mgeni wetu
dah! sorry skujuwa kama umekuwa Mrs jukwaa la Maxshimba, cheo nakuwa staji hazarani waswahili wataloga.hahaha!hebu niachie mbavu!akuone ww au invii!cheo chako ni kipi tena?afu klorokwin mi natokea jukwaa la dini rekebisha hapo kidooooogo,,lol
haka ka mgeni ketu katukutu kweli aisee! tunakakaribisha yeye kanatuimbia mipasho
sijawahi ona kageni kama haka,,twende nako taratibu tu maana kameshakuwa ketu kukafukuza hatuwezi si ni wakarimu bana,,au anataka shairi nn?
hahahahh lol
namie nakuaga for good..
tutaonana Mungu akipenda my dear
nilindie TF wangu angalia asipate shida lol
sintokuwepo hapa kuanzia kesho lol