Hi, am a new member!

aaaa nimekuwa nje sana ya ulingo wa kupost na kushiriki mijadala sasa nimechoka nataka kuweka mambo sawa kwamba ngudzu ni mvumo kwa lugha yetu na nitakuwa navuma si kukaa kimya hapa. Haya mambo ya kuchangia Jf pia nimeona kama huduma hizi za kipesa za kitelephone hazipo zaidi ya kutuma vocha hebu nazo basi zisajiliwe tuchangie mawazo na mshiko pia.

Kwa habari ya Rais nadhan kubwa linalotusumbua watanzania ni woga na unafiki. hatuko tayari kufanya mabadiliko hata kwa kutembea hatua moja tu mbele. Tunadanganywa mchana kweupee na runakubaliana tu na status quo. mambo yaliyoshindikana tangu uhuru leo watu wanadnaganywa na wanashangilia. Naomba niseme mawili tu. Hivi pale Tanga yale mashamba tangu enzi tumeanza kusikia serikali inataka kuyagawa kwa wananchi imeshapita muda gani. hapo sitaji ya Kilosa na Mvomero ambako watu wanauana kila siku. Juzi JK anwaambia atayagawa cheki shangwe zilivokuwa kwa maskini wale. Checki pale Mvomero aliposema atafikiria la kufanya kuhusu shamba la Sumaye la Ekari 300 watu walivyoshangilia. HIvi JK atafanya nini na shamba la Sumaye? Tuache woga na unafiki watanzania tunamhitaji Rais jasiri, jabali na shupavu wa kusimamia maneno yake. aaaa basi bwana leo siku yangu ya kwanza. Tuko pamoja sana! na idumu JF
 
aaaa nimekuwa nje sana ya ulingo wa kupost na kushiriki mijadala sasa nimechoka nataka kuweka mambo sawa kwamba ngudzu ni mvumo kwa lugha yetu na nitakuwa navuma si kukaa kimya hapa. Haya mambo ya kuchangia jf pia nimeona kama huduma hizi za kipesa za kitelephone hazipo zaidi ya kutuma vocha hebu nazo basi zisajiliwe tuchangie mawazo na mshiko pia.

Kwa habari ya rais nadhan kubwa linalotusumbua watanzania ni woga na unafiki. Hatuko tayari kufanya mabadiliko hata kwa kutembea hatua moja tu mbele. Tunadanganywa mchana kweupee na runakubaliana tu na status quo. Mambo yaliyoshindikana tangu uhuru leo watu wanadnaganywa na wanashangilia. Naomba niseme mawili tu. Hivi pale tanga yale mashamba tangu enzi tumeanza kusikia serikali inataka kuyagawa kwa wananchi imeshapita muda gani. Hapo sitaji ya kilosa na mvomero ambako watu wanauana kila siku. Juzi jk anwaambia atayagawa cheki shangwe zilivokuwa kwa maskini wale. Checki pale mvomero aliposema atafikiria la kufanya kuhusu shamba la sumaye la ekari 300 watu walivyoshangilia. Hivi jk atafanya nini na shamba la sumaye? Tuache woga na unafiki watanzania tunamhitaji rais jasiri, jabali na shupavu wa kusimamia maneno yake. Aaaa basi bwana leo siku yangu ya kwanza. Tuko pamoja sana! Na idumu jf


karibu sana janvini mpendwa, ungekuwa ccm ungeambiwa umetumwa kuvuruga jf
 
I am a new member as I registered today I will be an active member in responding day after day to any topics relate with jamiiforum affairs
 
Jama mwaka huu ni jino kwa jino si kwa nyama bali kwa mbinu na utaalam wa kulinda votes.Mshindi anajulikana watu hawahitaji kuelimishwa maana mwenye miso haambiwi lolaga
 
Wadau hongereni sana kwa kutoa critical comments ambazo kimsingi ni za manufaa kwa taifa letu....Mimi nikiwa kama newcomer ktk forum hii, niseme tu kwamba, kilichonivutia hadi nikaamua kujiunga na community hii ni jinsi Wadau mnavyojitahidi kuelimishana(professionally) kuhusu changamoto mbalimbali zinazoikabili nchi yetu! Heko saaaaaana Wadau.......Let's keep it up!
 
salaam wapenzi wangu nami nimejiunga katika forum hii ili niweze kutoa machache
ya maendeleo ya nchi yangu. asante
 
DON COMPUTER CARE SERVICES IS ONE OF THE BEST COMPANY IN TANZANIA

Don computer care services ina jishughulisha na kutengeneza computer, kuuza computer, kuinstall computer programmes kwa bei nafuu.
Programme inazo install ni kama Antivirus Symantec- for the best security, avast and others,
pia ina-install software mbalimbali kama Microsoft office 2003 and 2007, operating system windows XP,vista and others.
pia zingine PDF pro ina change pdf (Adobe reader kwenye ms word au excel etc,WinDVD, Cyberlink all type,AutoCAD for Engineering,PDF password remover,all type of file recovery.
Computer drivers,printers drivers& scanner drivers.
pia ina services ya stationery and Internet cafe.
karibuni wote.

contact: 0716-291773 or 0787-291773: email: doncomputercareservices@yahoo.com

DON COMPUTER CARE SERVICES
 

Attachments

  • logo Computer care services.JPG
    logo Computer care services.JPG
    18.8 KB · Views: 47
Hello,
By posting good ideas which will help our friends around the world and assist to build our societies.
Thanks
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom