hhaha!! Lady Gaga kuanzisha kanisa..sio kichekesho jamani...

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
Huyu Lady Gaga sasa amevuka mipaka.. yeye mpango wake sasa hivi ni kuanzisha kanisa ....ameamua kuanzisha kanisa ili afungishe ndoa za mashoga... let see..na amesema ndoa ya kwanza kufungisa itakuwa na mwalimu wake wa yoga
 
ye ndo atakuwa askofu wao?
ehh aya bwana...NI LAANA ..MAOMBI JUU YAKE YANAITAJIKA..KM SAULI ALIBADIRIKA BAS ATA GAGA ANAWEZA KUWA MAMA THERESA FLAN IVI..
 
ye ndo atakuwa askofu wao?
ehh aya bwana...NI LAANA ..MAOMBI JUU YAKE YANAITAJIKA..KM SAULI ALIBADIRIKA BAS ATA GAGA ANAWEZA KUWA MAMA THERESA FLAN IVI..
yeye ndio atakuwa kiongozi wa hilo kanisa na msukumo wa kuanzisha hilo kanisa ni ili kufungisha ndoa za mashoga
 
kazi kweli kweli
nq hizi ndo uniform za
kuvaa kanisani ..

5353336.jpg
Lady Gaga thinks sex keeps the world going around.
 
TOO MUCH AVATAR: Lady Gaga promotes her new album Born This Way in Mexico City.



HEART-SHAPED GAGA

 
[video=youtube_share;wagn8Wrmzuc]http://youtu.be/wagn8Wrmzuc[/video]
 
Lucifer in action indeed,hiyo ndo kazi yake alopewa hakuna cha life style wala nini,ni mpango maalumu kuwafanya watu wote wawe ma-puppet iwe rahisi kutawaliwa,wake up people,she is a true devil,na mengi mutayaona kutoka kwake,laana ya Allah imshukie.
 
hivi kwa nini kanapenda kukaa uchi uchi na wakati ka mwili kenyewe kamekongoroka?ningekuwa rafiki yake wa karibu ningemshauri ku cover up....
 
Lucifer in action indeed,hiyo ndo kazi yake alopewa hakuna cha life style wala nini,ni mpango maalumu kuwafanya watu wote wawe ma-puppet iwe rahisi kutawaliwa,wake up people,she is a true devil,na mengi mutayaona kutoka kwake,laana ya Allah imshukie.
kivipi? i cant buy this...huyu ni demu kajichokea tu huyo Lucifer mwenyewe hamjui wala nini .. hii ni style yake ya kujipatia riziki..kama wasanii wengine.. she is trying to get attention from media and many peoples as possible as she can.
 
Back
Top Bottom