Khaaaaaaaaaaaa mweeeeeeeeeeeehhh teh teh teh teh teh kila la kheri kaka
Mkuu hii mbona rahisi tafuta mtoto wa ku-adopt.., kuna watoto wengi tu wanakosa malezi au hawana wazazi.., just look around
yaaa najua ila me nataka my blood tuuu....nimuachie mama yangu copy yangu nipoteee!kazi yangu inanibana.
yaaa najua ila me nataka my blood tuuu....nimuachie mama yangu copy yangu nipoteee!kazi yangu inanibana.
Hebu kwanza kazungukezunguke, ukishakomaa akili yako ndo urudi humu...