Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Ni aje wadau wa jamvi hili, ni kamuda kidogo nilipotea sio tu chit chat bali JF kwa ujumla, nipeni yaliyojiri katika miezi hii mitatu of my absence, lete habari@Kaizer Mr Rocky Erickb52, kaka mkubwa Baba V Arushaone, Mamndenyi, Mtambuzi, cacico, gfsonwin, Bishanga, ruttashoborwa, Judgement, C6, charminglady, sweetlady, Preta, zomba, Katavi, Arabela, Ruhazwe JR LUNDENGA, BadiliTabia, Amyner, The secretary, Boflo, nyumbakubwa, snowhite, Safari_ni_Safari, Mkirua, na wengineo, naona kuna sura ngeni kibaaao, kuna sura kama Ritz, PakaJimmy, Filipo zimekimbia nini kule jukwaa la siasa, !???? I like it here, happy to be back!! pamoja saaaaana my people!
Last edited by a moderator: