utakuja
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 990
- 800
Habarini za mchana hapa nilitaka tu niwaonyeshe hawa majamaa wanavyochanganya watu maana ukiangalia website yao wameandika kuwa watu ambao awajaweka guarantor's photo wanabidi watume tu kwa barua lakini nilivyo enda nimepewa maelezo tofauti nawahusika wakiniambia kua sasa mdhamini anabidi andike barua fupi yakukudhamini wewe,abandike picha,asign,na ipelekwe kwa wakili ndio,itumwe sasa mbona awakuandika ichi kitu kwenye website yao