HESLB watoa awamu ya tatu ya mikopo 2015/16

Evari77

JF-Expert Member
Apr 25, 2015
631
626
Check kwenye Web yao kama umepata mkopo awamu ya tatu

attachment.php


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016 kuwa imetoa orodha ya Awamu ya Tatu yenye jumla ya waombaji wa mwaka wa kwanza 6,915 waliopangiwa mikopo.

Kati ya waombaji hawa waliopangiwa mikopo, waombaji 4,642 ni wale wanaojiunga na shahada ya kwanza katika vyuo mbalimbali nchini na waombaji 2,273 ni wanafunzi wanaojiunga na Stashahada (Diploma) ya Ualimu wa masomo ya sayansi na hisabati katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).

Kwa msingi huo, Bodi inapenda kuufahamisha umma kuwa hadi sasa imekwishawapangia mikopo jumla ya waombaji mikopo wenye sifa 47,751 wa mwaka wa kwanza. Katika awamu ya kwanza, Bodi ilitoa orodha yenye jumla ya waombaji 12,282; Awamu ya Pili wanafunzi 28,554 na Awamu hii ya Tatu wanafunzi 6,915 wamepangiwa mikopo.

Majina yote ya waombaji waliofanikiwa kupangiwa mikopo kutoka katika awamu zote tatu yanapatikana kupitia mtandao wa Bodi wa olas.heslb.go.tz na tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz). Aidha, orodha hizo pia zimetumwa vyuoni kwa ajili ya taratibu za usajili.


Mwisho.

Imetolewa na:

MKURUGENZI MTENDAJI
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU
Novemba 13, 2015

 

Attachments

  • HESLB.png
    HESLB.png
    6.3 KB · Views: 1,498
oya mkuu wasema kweliii ?? source ya hii ni wap mkuu
maana mm nliambiwa eeti 3rd lot ni hadi kesho ijumaa
Sasa source ya nini wakati kakwambia ingia kwenye web ya bodi ufanye yako,na wala adanganyi ni kweli
 
Asante mungu kidogo changu hatimae nae kapata....pongezi kwa ukawa kwa kutia presha serikali sasa imeanza kujielewa
 
S0125.0167.2007 Msaada pliz


Index Number: S0125.0167.2007
Institution: SAUTARUSHA
Course: BAED
Year of Study:1
Loan Breakdown

Meals and Accommodation (MA)2,099,500
Books And Stationary (BS)200,000
Field Practical and Trainings (FPT)620,000
Tuition Fee1,020,000
Research0
Special Faculty Requirements (SFR)60,000
TOTAL AMOUNT3,999,500
-->
 
Name: FILBERT, MELCHIOR
Index Number: S0125.0167.2007
Institution: SAUTARUSHA
Course: BAED
Year of Study:1
Loan Breakdown

Meals and Accommodation (MA)2,099,500
Books And Stationary (BS)200,000
Field Practical and Trainings (FPT)620,000
Tuition Fee1,020,000
Research0
Special Faculty Requirements (SFR)60,000
TOTAL AMOUNT3,999,500
-->

thnks mkuu God iz Great
 
Jana nimepost nikihoji LOT 3 itatoka lini imetoka baada ya kuangalia still.............The student with Index number 'S0204.0045.2011' did not secure a higher education loan for 2015/16 academic year in the Lots 1, 2 & 3 (New) of allocations.Nimeishiwa nguvu,nimekata tamaa naomba sasa WAHUSIKA WA BODI wajitokeze hadharani na waruhusu maswali ya moja kwa moja.Chuo kimefunguliwa tangu trh 9 NOV 2015 na wenzangu wamekwisha anza masomo.

 
Name: FILBERT, MELCHIOR
Index Number: S0125.0167.2007
Institution: SAUTARUSHA
Course: BAED
Year of Study:1
Loan Breakdown

Meals and Accommodation (MA)2,099,500
Books And Stationary (BS)200,000
Field Practical and Trainings (FPT)620,000
Tuition Fee1,020,000
Research0
Special Faculty Requirements (SFR)60,000
TOTAL AMOUNT3,999,500
-->

Msaada S2652/0102/2012
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom