SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Katibu mkuu wa wizara ya Elimu amewaagiza bodi ya mikopo kupitia upya wale waliokosa mkopo na walopata mkopo ila haki itendeke kwa kila mmojawajo.
My take:
Wanafunzi zaidi ya 800 inasemekana wamekosea kujaza form za mikopo ndio maana wakakosa mkopo. Wana JF ni kwanini bodi ya mikopo haikuwapa taharifa hao wanafunzi kabla ila warekebishe makosa hayo pia je bodi wameweka fungu la hao wanafunzi 800 endapo wakikamilisha kujaza izo fomu za bodi. Pia natatizwa na wale walioambiwa NO PRIORITY hivi kweli HESLB NA TCU wakati wa kuapply vyuo mbona hakukua na kozi zilizoandikwa NO PRIORITY ila wameshachaguliwa uku ukiwa na uwakika wa mkopo leo Heslb inakurupuka na kusema No Priority.
Nawasilisha
My take:
Wanafunzi zaidi ya 800 inasemekana wamekosea kujaza form za mikopo ndio maana wakakosa mkopo. Wana JF ni kwanini bodi ya mikopo haikuwapa taharifa hao wanafunzi kabla ila warekebishe makosa hayo pia je bodi wameweka fungu la hao wanafunzi 800 endapo wakikamilisha kujaza izo fomu za bodi. Pia natatizwa na wale walioambiwa NO PRIORITY hivi kweli HESLB NA TCU wakati wa kuapply vyuo mbona hakukua na kozi zilizoandikwa NO PRIORITY ila wameshachaguliwa uku ukiwa na uwakika wa mkopo leo Heslb inakurupuka na kusema No Priority.
Nawasilisha