Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,221
umemsoma ehh, jamaa kaja kwa mbwembwe akaanza kukejeli bila kuangalia mada inasema vp...inasikitisha sana.ni km anakejeli waliokosa!, km ipo ipo tu, hainaga haja ya ''kutembea kifua mbele km umepigwa ngumi ya mgongo" nukuu toka Fid Q.