HESLB: Sheria-mpya!

Mkulima,Usipoteze muda kubishana na watoto wadogo,Mimi nilipotoa hoja kuwa huyu mtu watu waepukane naye kuna baadhi ya watu hawakufahamu ni nini lengo lake,wakadhani ni mtu anayekuja hapa kutafuta ushauri kumbe la ghasha amekuja kumaliza kinyongo chake,Ndio maana anaishia na kuregister mi ID kibao,mara Luther,mara Gynaecologist mara Beijing lu,hadi atafika MASA lu. Hivyo hakuna haja ya kubishana wala kupoteza muda wako kaka kwa watu kama hawa.Sisi tulio huku tushawazoea.Huku kuna kitu wenyewe wanaviita vikao,yaani wanakutana wanatembeza kinywaji na kupitisha muda,hivyo majungu yote yanasukwa huko kwa watu wasio na deal ama kazi ya kufanya(si unajua China ilivyo,inahitaji akili kumkichwa ili usiachwe feri),haiingii akilini kwa mtu mwenye mambo yake ya maana kupoteza muda kuanza kujenga mijungu isiyo na maana.
kama kuna mtu anayebisha naomba upitia kwa makini post za huyu mtu(Luther,Gynaecologist na Beijing Lu) hapo utabaini source ya post hii.
 
Mkulima,Usipoteze muda kubishana na watoto wadogo,Mimi nilipotoa hoja kuwa huyu mtu watu waepukane naye kuna baadhi ya watu hawakufahamu ni nini lengo lake,wakadhani ni mtu anayekuja hapa kutafuta ushauri kumbe la ghasha amekuja kumaliza kinyongo chake,Ndio maana anaishia na kuregister mi ID kibao,mara Luther,mara Gynaecologist mara Beijing lu,hadi atafika MASA lu. Hivyo hakuna haja ya kubishana wala kupoteza muda wako kaka kwa watu kama hawa.Sisi tulio huku tushawazoea.Huku kuna kitu wenyewe wanaviita vikao,yaani wanakutana wanatembeza kinywaji na kupitisha muda,hivyo majungu yote yanasukwa huko kwa watu wasio na deal ama kazi ya kufanya(si unajua China ilivyo,inahitaji akili kumkichwa ili usiachwe feri),haiingii akilini kwa mtu mwenye mambo yake ya maana kupoteza muda kuanza kujenga mijungu isiyo na maana.
kama kuna mtu anayebisha naomba upitia kwa makini post za huyu mtu(Luther,Gynaecologist na Beijing Lu) hapo utabaini source ya post hii.

Nyumba ndogo ya myikulu imekuja juu...
hahah,meza wembe,tushaingia ivo.
 
Wanajamvi, kuna afisa wa ubalozi wetu huko uchina huwatumia(vijana wetu)email ya kuwataka wajiandikishe katika tovuti ya ubalozi huo,na asiyefanya hivyo akikosa mkopo asipige kelele.

Sasa wazee wenzangu,nijuzeni hii sheria mpya ya bodi ya mikopo inayoruhusu vijana wetu kukosa mkopo,kwa kushindwa kujiandisha katika tovuti ya ubalozi wao?

Nimerejea form na makaratasi yote ya sheria za kupewa mkopo sijaona sheria hii.Je hii yatoka wapi?
Kama mzazi na kama mwanajamii mwema sioni haja ya kuhoji kuhusi hili kwani ni utaratibu wa ki utendaji. Wakati mwingine kuhoji kila kitu ni kuwafundisha watoto ukaidi usio na sababu, kwasababu kwangu mimi sioni kwa mfano wakifanya wanavyotakiwa kufanya watapungukiwa na nini.

Maadili ya kweli yatapatikana tu pale ambapo mkubwa kwa mdogo wote wana nia njema katika kufanikisha lengo lao na sio kutiliana mashaka kwa kila kitu.
 
Kuna huyu mtu ameandika hapo juu, kwa jina anajiita "HuXiang" ni mbumbavu kabisa sijui hata huko mliko China alifikaje???, nimejaribu kusoma comments zake hapo ni upuuzi mtu, then nikawa interested kusoma posts zake za huko nyuma, inaoneka kwanza hata Technologia kichwani hamna kabisa, wala kumbumbukumbu kichwani hanma kabisa,sasa sijui atakuja kusaidia nini katika kuleta maendeleo huku Bongo!!!!! Nimejiuliza maswali kibao ,anasoma nini huko Uchina ??? katika hii mada kijana alitaka kujua sheria na utaratibu wa HELSB,Mr GynoEcology big up ebu tafuta posts za huyu Huxiang za huko nyuma uzisome na kuona alivyo mjinga , nenda kwenye jina lake hapo HuXiang ,click then uone posts zake za huko nyuma ukazisome, Huyu Huxiang huko nyuma alisha posts comments nyingi humu za kuwalaumu maofisa ubalozi huko Uchina,issue za kukataliwa kusomwa RISALA yenu kwa mheshimiwa Rais alipofanya ziara huko Uchina.Leo hii tena anageuka anaaza kujiita yeye mtu mwema?? TERRIBLE!!!! "i.e China wagomea risala kwa kikwete na kumsakama mama wa watu,fatilia thread hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/11963-ubalozi-china-wagomea-risala-kwa-kikwete.html#post173840" Mr Gynoecology ukisoma posts za huyu jamaa za huko nyuma utakuta ujinga na utawajuwa wajinga wenzie wanao jidai wapo huko wanasoma,yupo na mwenzie huko nyuma alishatwambia kuwa anasoma huko Uchina na alishasema humu kuwa ka design website for Foreign students huko Uchina, Mimi naonaga posts zao nyingi,tu ila sema najua ni ushamba na utoto,wanafurahia kukaa huko uchina,kumbe watu kibao walishaga ishi kila corner ya dunia hii tumetulia tu, Masomo mema vijana,
 
Kuna huyu mtu ameandika hapo juu, kwa jina anajiita "HuXiang" ni mbumbavu kabisa sijui hata huko mliko China alifikaje???, nimejaribu kusoma comments zake hapo ni upuuzi mtu, then nikawa interested kusoma posts zake za huko nyuma, inaoneka kwanza hata Technologia kichwani hamna kabisa, wala kumbumbukumbu kichwani hanma kabisa,sasa sijui atakuja kusaidia nini katika kuleta maendeleo huku Bongo!!!!! Nimejiuliza maswali kibao ,anasoma nini huko Uchina ??? katika hii mada kijana alitaka kujua sheria na utaratibu wa HELSB,Mr GynoEcology big up ebu tafuta posts za huyu Huxiang za huko nyuma uzisome na kuona alivyo mjinga , nenda kwenye jina lake hapo HuXiang ,click then uone posts zake za huko nyuma ukazisome, Huyu Huxiang huko nyuma alisha posts comments nyingi humu za kuwalaumu maofisa ubalozi huko Uchina,issue za kukataliwa kusomwa RISALA yenu kwa mheshimiwa Rais alipofanya ziara huko Uchina.Leo hii tena anageuka anaaza kujiita yeye mtu mwema?? TERRIBLE!!!! "i.e China wagomea risala kwa kikwete na kumsakama mama wa watu,fatilia thread hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/11963-ubalozi-china-wagomea-risala-kwa-kikwete.html#post173840" Mr Gynoecology ukisoma posts za huyu jamaa za huko nyuma utakuta ujinga na utawajuwa wajinga wenzie wanao jidai wapo huko wanasoma,yupo na mwenzie huko nyuma alishatwambia kuwa anasoma huko Uchina na alishasema humu kuwa ka design website for Foreign students huko Uchina, Mimi naonaga posts zao nyingi,tu ila sema najua ni ushamba na utoto,wanafurahia kukaa huko uchina,kumbe watu kibao walishaga ishi kila corner ya dunia hii tumetulia tu, Masomo mema vijana,

huxiang ni nyumba ndogo ya myikulu,anatetea pipi....
 
lakini pia msisahau,lolote lawezekana...........labda anapata chochote?
 
Naongea kama mwenyekiti wa watanzania waishio wuhan
Sipendi kuendelea na mijadala huku.
Na kule kwenye yahoo group ni wanaKamati kuu tu ambao wanaruhusiwa kuchangia maoni yao kuhusu kujiunga kwetu na africa mashariki. Mmeshaanza kumtaja Husna bila sababu wakati nimemteua kwa mamlaka yangu kama mwenyekiti. Acheni umbumbu wenu hapa.
Sule Khalfan
Mwenyekiti wa wanafunzi wa wuhan.
 
Acha ushamba na upuuzi wewe, topic hapa ni HESLB na Sheria- mpya...
Suala la Uenyekiti wa Watanzania na kamati kuu linakujaje huku kwenye jamii forum?

Huyu mwenyekiti gani ni sifuri kiasi hichi hata kichwa cha mada husika hujui???

Tuleteeni hizo hoja zako za kujiunga na East Africa, tukusaidie kuzijadili .humu,usikurupuke tu .na kama hauna hoja, kaeni kimya.then utaona kitakachotokea na hiyo EA yako mshamba kabisaa wewe.
 
tatizo lako ndugu wewe sio mlengwa wa hiyo e mail na isitoshe hakutaka kujua contents ya hiyo mail nafikiri,..na bado unakurupuka na kutaka kuanzisha zogo lisilo na maana,..Board kupitia sheria yake no 9, 2004 (as amended) inaruhusiwa kuanzisha net-working and cooperation links with Institutions and organizations be they Government or non Governmental, local, foreign or International, ili kurahisisha utekelezaji wa shughuli zake, S. 6(h) of the Act, na pia S. 7 (h) ina power za "kudetermine other criteria and conditions governing the granting of students loans ..."

ivyo basi board imeamu kuanzisha operational links na ubalozi wa Tanzania china ilikusaidia wanafunzi wa KiTz china kupata mikopo kwa urahisi n on time,..nafikiri ubalozi kama agent wa board ilikutekeleza majukumu yao kama walivyo ombwa na board wameanza kuanzisha data base yao ilikupata wanfunzi kamili waliopo china.
Yeye kauliza wewe unaanza kumshutumu badala ya kumjibu moja kwa moja.
Kwa maelezo yako mazuri nakupongeza lakini usingeanza kwa kumbeza badala ya kumjibu straight! Alitaka kujua tu.
 
Kuna huyu mtu ameandika hapo juu, kwa jina anajiita "HuXiang" ni mbumbavu kabisa sijui hata huko mliko China alifikaje???, nimejaribu kusoma comments zake hapo ni upuuzi mtu, then nikawa interested kusoma posts zake za huko nyuma, inaoneka kwanza hata Technologia kichwani hamna kabisa, wala kumbumbukumbu kichwani hanma kabisa,sasa sijui atakuja kusaidia nini katika kuleta maendeleo huku Bongo!!!!! Nimejiuliza maswali kibao ,anasoma nini huko Uchina ??? katika hii mada kijana alitaka kujua sheria na utaratibu wa HELSB,Mr GynoEcology big up ebu tafuta posts za huyu Huxiang za huko nyuma uzisome na kuona alivyo mjinga , nenda kwenye jina lake hapo HuXiang ,click then uone posts zake za huko nyuma ukazisome, Huyu Huxiang huko nyuma alisha posts comments nyingi humu za kuwalaumu maofisa ubalozi huko Uchina,issue za kukataliwa kusomwa RISALA yenu kwa mheshimiwa Rais alipofanya ziara huko Uchina.Leo hii tena anageuka anaaza kujiita yeye mtu mwema?? TERRIBLE!!!! "i.e China wagomea risala kwa kikwete na kumsakama mama wa watu,fatilia thread hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/11963-ubalozi-china-wagomea-risala-kwa-kikwete.html#post173840" Mr Gynoecology ukisoma posts za huyu jamaa za huko nyuma utakuta ujinga na utawajuwa wajinga wenzie wanao jidai wapo huko wanasoma,yupo na mwenzie huko nyuma alishatwambia kuwa anasoma huko Uchina na alishasema humu kuwa ka design website for Foreign students huko Uchina, Mimi naonaga posts zao nyingi,tu ila sema najua ni ushamba na utoto,wanafurahia kukaa huko uchina,kumbe watu kibao walishaga ishi kila corner ya dunia hii tumetulia tu, Masomo mema vijana,
Mkuu wangu,

Wenye uwezo wakikusoma inaonyesha wazi wewe ni mtu mmoja na unabadilisha majina tu, unataka kumdanganya nani hapa JF?

Tumieni huo muda kusoma badala ya kubishana juu ya mambo ambayo hayawaongezeeni tija kabisa.

Pia kubadilisha majina ili kujipigia vigelegele mwenyewe sio ustaarabu. Kama ni mwanafunzi kweli, basi nenda shule kasome. Watu wengi sana hapa wamekuelekeza kwamba huo ndio utaratibu. Kama una ushahidi zaidi kwamba kuna mtu ka abuse utaratibu huo basi lete ushahidi. Vinginevyo unaendeleza majungu ambayo hayamsaidii mtu yeyote hapa.
 
Mkuu wangu,

Wenye uwezo wakikusoma inaonyesha wazi wewe ni mtu mmoja na unabadilisha majina tu, unataka kumdanganya nani hapa JF?

Tumieni huo muda kusoma badala ya kubishana juu ya mambo ambayo hayawaongezeeni tija kabisa.

Pia kubadilisha majina ili kujipigia vigelegele mwenyewe sio ustaarabu. Kama ni mwanafunzi kweli, basi nenda shule kasome. Watu wengi sana hapa wamekuelekeza kwamba huo ndio utaratibu. Kama una ushahidi zaidi kwamba kuna mtu ka abuse utaratibu huo basi lete ushahidi. Vinginevyo unaendeleza majungu ambayo hayamsaidii mtu yeyote hapa.

nikusaidiaje?
 
Yeye kauliza wewe unaanza kumshutumu badala ya kumjibu moja kwa moja.
Kwa maelezo yako mazuri nakupongeza lakini usingeanza kwa kumbeza badala ya kumjibu straight! Alitaka kujua tu.

Mchukia Fisadi
Huyo mjamaa ana mipreshapesa...

Swali:...sheria ipi?...yeye anajibu ni utaratibu..lalalalaa...
So kama ni utaratibu implies that hakuna adhabu hapo, kwasababu sheria ndio inahukumu na si utaratibu.
 
Acha ushamba na upuuzi wewe, topic hapa ni HESLB na Sheria- mpya...
Suala la Uenyekiti wa Watanzania na kamati kuu linakujaje huku kwenye jamii forum?

Huyu mwenyekiti gani ni sifuri kiasi hichi hata kichwa cha mada husika hujui???

Tuleteeni hizo hoja zako za kujiunga na East Africa, tukusaidie kuzijadili .humu,usikurupuke tu .na kama hauna hoja, kaeni kimya.then utaona kitakachotokea na hiyo EA yako mshamba kabisaa wewe.

Naweza nikakupa mambo tunayofanya watu wenye akili kwenye vikao vya East Africa Mbumbumbu wewe:



[FONT=宋体, MS Song]NUTES OF EA STUDENTS REPRESENTATIVES MEETING HELD ON 18/02/10 AT HUASHI ROOM 806[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]AGENDA[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]1.[/FONT] [FONT=宋体, MS Song]Opening prayer[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]2.[/FONT] [FONT=宋体, MS Song]Communication from the coordinator[/FONT]
· [FONT=宋体, MS Song]Briefing the new members[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]3.[/FONT] [FONT=宋体, MS Song]Review of the last minutes[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]4.[/FONT] [FONT=宋体, MS Song]Discussion[/FONT]
· [FONT=宋体, MS Song]How to organize our next activity(Luncheon/ diner)[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]5.[/FONT] [FONT=宋体, MS Song]Closure[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]MEMBERS PRESENT[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Sule Khalfan ( Tanzania )[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]HUsna Hussein ( Tanzania )[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Kamanzi Emmanuel ( Rwanda )[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Singuranayo J.Louis ( Rwanda )[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Ocitti Bob Felix ( Uganda )[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Nansambu Paula ( Uganda )[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Moses Masha ( Kenya )[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Emma N.MUgo ( Kenya )[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]MEMBERS ABSENT WITH APOLOGY[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Shaka Mugisha ( Burundi )[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Claude Ndikumana ( Burundi )[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song] [/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Minute 1: Communication from Coordinator and Review of last Minutes[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]The meeting started at 4:55pm with an opening prayer. The coordinator welcomed us all especially the new representatives present at the meeting by giving them a briefing about the role of the committee. This was followed by a review of the previous meeting’s minutes from the secretary, and additions from the members that were present as well as reactions and views from those that were absent. Following the reactions it was noted that Tanzania due to the massive number of its members in Wuhan would be an exception with 3 representatives on the committee and we requested the Tanzania leaders present to come up with the 3rd member who can join the committee in the next meeting.[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song] [/FONT]
[FONT=宋体, MS Song] [/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Minute 2: Discussion[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]How to organize our upcoming event, The get together dinner.[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Members present discussed what will be required for the success of our beginning of semister get together dinner on the proposed date of 13th March 2010, we talked in details what we would need (venue, food, drinks, miscellaneous) , made an estimated budget and resolved the necessity of 35kuai per member for the success of this great event. It was resolved that unlike the previous dinner where we were served in a restaurant, this one will involve all the EA students cooking a particular dish in their respective university campuses then sharing together in one venue, our aim is that such an event will help us to interact more, get to know each other better, share our very own local EA dishes together and above all promote unity amongst the EA students in Wuhan.[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]Minute 3: closure[/FONT]
[FONT=宋体, MS Song]The coordinator thanked us all for the good turn up, stressed the importance of time keeping for the next meetings and as deemed relevant we agreed to meet again on Saturday 27th February at Paula’s place (Ligong university, East campus room 301).[/FONT] [FONT=宋体, MS Song]The meeting was adjourned at 8:10pm with a closing prayer.[/FONT]
[FONT=宋体]Pamoja na hilo nenda jamii forum kama itafunguka uangalie umbumbumbu wa baadhi ya wanaafunziwaliopo Wuhan.[/FONT]

una lingine?
 
Nyie uchinani mna nini huko?
Mbona mnafanya mambo ya shule za misingi?? nyoka wamewachosha nini? kama vipi karibuni tujumuike na dagaa wetu na mchunga.
 
Nyie uchinani mna nini huko?
Mbona mnafanya mambo ya shule za misingi?? nyoka wamewachosha nini? kama vipi karibuni tujumuike na dagaa wetu na mchunga.

MkamaP,

Hawa vijana hawajui kwamba wakichoka na shule inabidi walenge ule upande wa pili wa scholarships zao (Cultural exchange) maana yake kuruka na watoto wa Kichina (macho madogo). Frustrations zenu zote za kupata F, zipelekeni huko. Angalau mnajiridhisha kwamba kuna kazi mnaziweza.

Sasa nyie kazi yenu ni kugombana hapa JF, mkikua mtakuja kusimulia nini? Nyie ndio mnaishia kutembea na house girls kwasababu hamkuutumia vizuri ujana wenu.

Ushauri wa bure, hao macho madogo mkiwakosa huko Uchinani hamtawapata tena.
 
MkamaP,

Hawa vijana hawajui kwamba wakichoka na shule inabidi walenge ule upande wa pili wa scholarships zao (Cultural exchange) maana yake kuruka na watoto wa Kichina (macho madogo). Frustrations zenu zote za kupata F, zipelekeni huko. Angalau mnajiridhisha kwamba kuna kazi mnaziweza.

Sasa nyie kazi yenu ni kugombana hapa JF, mkikua mtakuja kusimulia nini? Nyie ndio mnaishia kutembea na house girls kwasababu hamkuutumia vizuri ujana wenu.

Ushauri wa bure, hao macho madogo mkiwakosa huko Uchinani hamtawapata tena.

Teh teh teh teh
Inaonekana shule ya kichina ngumu, teh teh teh sasa wazee wa uchinani wana stress nyingi wanataka kuziondoa stress zao.

Unajuwa yawezekana walipokuwa bongo walikuwa wanajiona wanayakokotoa mahesabu ,sasa wamekumbana na watu wafupi hawa watu wafupi wa Asia yani wavietnamu, wa korea na wachina wanatisha ktk mahesabu yani ni noma.

Sasa stress zikizidi itawabidi tu mvute ngoma za kichina mpunguze stress kidogo.
 
Na wewe Mkamap na Muheza acheni kuongea vitu msivyovijua hapa. Ningeelewa kama mngekuja na hoja za minutes za kikao,nimewapa hapo mnaanza mada za ajabu ajabu. Huo ndio nauita umbumbumbu!
 
Na wewe Mkamap na Muheza acheni kuongea vitu msivyovijua hapa. Ningeelewa kama mngekuja na hoja za minutes za kikao,nimewapa hapo mnaanza mada za ajabu ajabu. Huo ndio nauita umbumbumbu!

Mkuu unajuwa akina dada/mke ni mabingwa wakupunguza stress . Mzee kama namna gani vipi vuta kadada kashem kamoja kakichina.
 
mods please i flush kunakohusika hii kitu ya hawa madogo wakichina maana haitusaidii hapa kwenye siasa...
 
Back
Top Bottom