HESLB: Sheria-mpya!

........tatizo lako ndugu wewe sio mlengwa wa hiyo e mail na isitoshe hakutaka kujua contents ya hiyo mail nafikiri,..na bado unakurupuka na kutaka kuanzisha zogo lisilo na maana,........

Ungeweza kumjibu bila kumsimanga.
 
tatizo lako ndugu wewe sio mlengwa wa hiyo e mail na isitoshe hakutaka kujua contents ya hiyo mail nafikiri,..na bado unakurupuka na kutaka kuanzisha zogo lisilo na maana,..Board kupitia sheria yake no 9, 2004 (as amended) inaruhusiwa kuanzisha net-working and cooperation links with Institutions and organizations be they Government or non Governmental, local, foreign or International, ili kurahisisha utekelezaji wa shughuli zake, S. 6(h) of the Act, na pia S. 7 (h) ina power za "kudetermine other criteria and conditions governing the granting of students loans ..."

ivyo basi board imeamu kuanzisha operational links na ubalozi wa Tanzania china ilikusaidia wanafunzi wa KiTz china kupata mikopo kwa urahisi n on time,..nafikiri ubalozi kama agent wa board ilikutekeleza majukumu yao kama walivyo ombwa na board wameanza kuanzisha data base yao ilikupata wanfunzi kamili waliopo china.
hiyo on time si kweli wengine walizaja form za mkopo wa mwaka 2009/2010 hadi leo tarehe 20/2/2010 hawajapata
 
Mtoa mada umezunguka sana.

Kwa ufupi,afisa huyo wa ubalozi alimpa tender mwanafunzi/designer mwenye jina "m",atengeneze database. Designer "m" akamwambia afisa huyo wa ubalozi waambie wanafunzi wako asiyejiandikisha hapati mkopo.Afisa huyo bila kuzingatia anaongea na watu wenye akili timamu,akakurupuka kutangaza "asiyejiandikisha hapati mkopo".Haipiti wiki huyu afisa anatuma ma-email yake ya FYI,kumbe anapigia debe ujasiria mari wake na designer wake.

Mwanakijiji,Invisible na Field M, naandaa maelezo yakutosha,kuna skendo za kifisadi wanavotaka kutuchezea hawa wakulu.

Usishangae kupokea PM zenye vionjo vifuatavo:
1.Chenji ndogo
2.Chenji kubwa
3.Breakdown
4.........

Tutahitaji msaada wenu wa kisheria tuweze kwenda mberembere
 
Hiyo tender angepewa mzungu au Mchina tusingesikia hizi kelele. Kapewa mwanafunzi mwenzenu tayari maneno kibao. Miafrika kwa wivu wa kijinga tunaongoza.

Kama mna ushahidi mwingine basi leteni ila kwa mlichoandika mpaka sasa naona ni majungu na wivu zaidi kuliko facts.
 
Kama alivyojibu hapo mkuu

Ni kweli ni mahala pengi ambapo mwanafunzi anahitaji kutambuliwa na ubalozi kabla ya kupata mkopo.
Maana Balozi ndiye mwenye kutambuwa kwa karibu zaidi mhusika ni mwanafunzi na je shule aliyonayo ni halali ama vipi?

Ugaibuni kuna shule nyingi feki sana, tena serikali inabidi kuliangalia hilo kwa makini sana.
Umeshawahi kufika huko ughaibuni?teh teh
 
Hiyo tender angepewa mzungu au Mchina tusingesikia hizi kelele. Kapewa mwanafunzi mwenzenu tayari maneno kibao. Miafrika kwa wivu wa kijinga tunaongoza.

Kama mna ushahidi mwingine basi leteni ila kwa mlichoandika mpaka sasa naona ni majungu na wivu zaidi kuliko facts

Mkulima wewe ndio mwafrika mwenye akili ya kijinga kabisa.

Issue hapa ni huyo designer kukurupuka kwa kutunga sheria,,kwa siyejiunga kukosa mkopo.

Acha ulimbukeni wewe,unajua hata hiyo database ni nini?Teknolojia imekulala kushoto wewe.

Huku ughaibuni watu wanafikiria maisha,hakuna muda wa majungu huku wewe.
 
Amkeni wadanganyika!
Leo ofisa wa ubalozi na designer wanashirikiana kuunda sheria ya kifalafala ivo,hafu mnaisupport.
Si ajabu hata viongozi wetu wameona akili zenu wanawaburuza wanavotaka.
 
Mkulima wewe ndio mwafrika mwenye akili ya kijinga kabisa.

Issue hapa ni huyo designer kukurupuka kwa kutunga sheria,,kwa siyejiunga kukosa mkopo.

Acha ulimbukeni wewe,unajua hata hiyo database ni nini?Teknolojia imekulala kushoto wewe.

Huku ughaibuni watu wanafikiria maisha,hakuna muda wa majungu huku wewe.
Watu wameshakuja ughaibuni kabla hata hujazaliwa; nyie mnalalamikia utaratibu ambao utawasaidia sababu tu mnafikiri huyo mwenzenu kawa tajiri na atawazidi kwenye mashindano ya kuchukua watoto wa Kichina.

Miafrika kwa wivu balaa tupu.

Kama wewe unaona hiyo systema haifai, achana nayo na fuatilia mkopo wako wewe mwenyewe.

Hapa mnazidisha majungu tu.
 
Amkeni wadanganyika!
Leo ofisa wa ubalozi na designer wanashirikiana kuunda sheria ya kifalafala ivo,hafu mnaisupport.
Si ajabu hata viongozi wetu wameona akili zenu wanawaburuza wanavotaka.
Tena huyo balozi kachelewa, wenzenu walianza miaka mingi kutumia utaratibu huo. Hiyo sio sheria ni utaratibu.

Kama hutaki kuufuata basi fuiatilia mkopo wako mwenyewe kule Dar.
 
Tena huyo balozi kachelewa, wenzenu walianza miaka mingi kutumia utaratibu huo. Hiyo sio sheria ni utaratibu.

Kama hutaki kuufuata basi fuiatilia mkopo wako mwenyewe kule Dar

enheee endelea.
 
Tena huyo balozi kachelewa, wenzenu walianza miaka mingi kutumia utaratibu huo. Hiyo sio sheria ni utaratibu.

Kama hutaki kuufuata basi fuiatilia mkopo wako mwenyewe kule Dar

Acha undezi wewe.
Swali linauliza ni sheria ipi....?

Utaratibu na shaeria kipi kina nguvu?

Uko kwenye payroll ya hao wanene sie!!
 
Acha undezi wewe.
Swali linauliza ni sheria ipi....?

Utaratibu na shaeria kipi kina nguvu?

Uko kwenye payroll ya hao wanene sie!!
Hayo ndio matatizo yenu, mkiambiwa ukweli mnaanza kusema uko kwenye payroll. Siko kwenye payroll ya mtu ila hata mimi nilitumia utaratibu kama huo miaka 13 iliyopita nilipokuwa nje ya nchi na ulisaidia kupunguza usumbufu.

Nashangaa wewe unaulalamikia utaratibu ambao unatumika karibu nchi zote kwa Watanzania.

Ondoeni wivu na songeni mbele.
 
Hayo ndio matatizo yenu, mkiambiwa ukweli mnaanza kusema uko kwenye payroll. Siko kwenye payroll ya mtu ila hata mimi nilitumia utaratibu kama huo miaka 13 iliyopita nilipokuwa nje ya nchi na ulisaidia kupunguza usumbufu.

Nashangaa wewe unaulalamikia utaratibu ambao unatumika karibu nchi zote kwa Watanzania.

Ondoeni wivu na songeni mbele.

Utaratibu si sheria wewe,unatia shaka hiyo miaka 13 ughaibuni hujui tafauti ya sheria na utaratibu.

Kujiunga sio issue huko=kujiunga hapa JF.
 
Oohhh bodi imesema,jazeni haraka,haraka...oohh mkikosa mkopo msinilaumu...oooohhh

Bodi inasheria zake,zinazotungwa na Bunge,yes Bunge si Bodi.

Ubalozi ni daraja tuu,hawana malaka hiyo ya kutunga sheria.
 
Utaratibu si sheria wewe,unatia shaka hiyo miaka 13 ughaibuni hujui tafauti ya sheria na utaratibu.

Kujiunga sio issue huko=kujiunga hapa JF.
Haya mkuu, kama wewe hutaki kufuata huo utaratibu, lala mbele, waachie wenzako watumie utaratibu huo kupunguza matatiozo yako.

Hakuna anayekulazimisha kuutumia maana mkopo unaweza kuchukulia Dar moja kwa moja badala ya kupitia ubalozini.
 
Haya mkuu, kama wewe hutaki kufuata huo utaratibu, lala mbele, waachie wenzako watumie utaratibu huo kupunguza matatiozo yako.

Hakuna anayekulazimisha kuutumia maana mkopo unaweza kuchukulia Dar moja kwa moja badala ya kupitia ubalozini

hahaahah.....
Sijiungi period, mkopo nitaupata on time,hakuna wa kutia tungule/jungu lolote nikose mkopo.
 
Back
Top Bottom