hv hawa HESLB wanadhan kuwanyima equivalent mkopo ndio soln. mbona kuna equivalent weng wajanja tena waliopo kazini wame aply direct TCU na vyet vya fom 6 wakapata mkopo? nawashaur equivalent waaply direct TCU mwakan watapata mkopo hata kama mna mshahara, vigezo vya HESLB vyote vina kasoro.