Wandugu nimeobserve ki2 kimoja nadhani mtakubaliana na mimi. Lately heshima kwa wababa imeshuka sana tena hata kuliko kwa vijana wa 25-35 kutokana na tabia za kifataki zilizokithiri. Siku hizi hata msichana akikutana na mzee wa umri wa babake anajifikiria mara 2 kuhusu kumpa shikamoo. Hii ni kutokana na tabia ya wababa wengi kutokupokea shikamoo siku hizi. Hii inanipa wasiwasi sana kwani kadiri siku zinavyokwenda hali hii inazidi. Wababa wamepoteza heshima kabisa cku hizi. Am just saying