Baada ya kufikiria na kupima mwelekeo wa nchi yetu tulikotoka, tulipo, na tunakokwenda; tusipotafakari vyema nchi hii itakuwa na historia nzuri sana na mbaya sana. Nikakumbuka "heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo wake".
Tulianza vizuri ktk nchi yetu, tulikula na kulima pamoja, tukasoma pamoja, tukawa na maduka ya pamoja tukahifadhi mali ya umma pamoja.Leo hii chini ya chama kile kile (TANU/CCM) nchi na uzuri wake unaliwa na kikundi kidogo sana kisichoogopa chochote na kinafanya lolote ndani ya nchi hii. Baadhi ya wazalendo wakipiga kelele wanazimwa kwa namna moja au nyingine. Hakuna yeyote mwenye kusema tuache kuwaibia waTZ isipokuwa wale waliokuwa nje ya CCM nako wachache tu!!!!! kwa kuwa wengine ni mapandikizi.
tufanye nini????.
Dawa ni moja tu, hiyo ndiyo pekee itakayotupa nchi yenye neema kama tulivoanza mwanzo.Huduma zetu zitaboreshwa na pia watoto wetu watasoma.
Kila mtu nayependa kuona nchi yetu inasonga mbele, basi ahakikishe mwaka 2015. CHADEMA inaingia magogoni na sio kwamba wakae pale milele. wakipoteza mwelekeo kama CCM, tunawapeleka NCCR-mgeuze.
CHADEMA !!!!!!!!!!!>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>2015>>>>>>>>>>>>>2020>>>>>>2025.......?????????
Tulianza vizuri ktk nchi yetu, tulikula na kulima pamoja, tukasoma pamoja, tukawa na maduka ya pamoja tukahifadhi mali ya umma pamoja.Leo hii chini ya chama kile kile (TANU/CCM) nchi na uzuri wake unaliwa na kikundi kidogo sana kisichoogopa chochote na kinafanya lolote ndani ya nchi hii. Baadhi ya wazalendo wakipiga kelele wanazimwa kwa namna moja au nyingine. Hakuna yeyote mwenye kusema tuache kuwaibia waTZ isipokuwa wale waliokuwa nje ya CCM nako wachache tu!!!!! kwa kuwa wengine ni mapandikizi.
tufanye nini????.
Dawa ni moja tu, hiyo ndiyo pekee itakayotupa nchi yenye neema kama tulivoanza mwanzo.Huduma zetu zitaboreshwa na pia watoto wetu watasoma.
Kila mtu nayependa kuona nchi yetu inasonga mbele, basi ahakikishe mwaka 2015. CHADEMA inaingia magogoni na sio kwamba wakae pale milele. wakipoteza mwelekeo kama CCM, tunawapeleka NCCR-mgeuze.
CHADEMA !!!!!!!!!!!>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>2015>>>>>>>>>>>>>2020>>>>>>2025.......?????????