View attachment 33292Kale kadadaketu kalikutwa hivi huko dodoma kwenye Fiesta.Wapi heshima ya madada zetu?
hakuna umaarufu wala ma V ANAUZA TUUU wanunuzi wakina pedeshee wameweka magar mekundu na meusi stand by kuna vilio vywa kusaga meno veryveryvery sooooooon lets wait and well ccccccccccikwel huu umaharufu ni kaz kwel kwel, sasa ndo nn ivyo? ovyooo
Biashara ilianza kupungua kwahiyo inabidi tushawishiwe.Mwana dada Wema juzi katika Serengeti Fiesta ya Morogoro wakati Diamond anaimba nae akapanda jukwaani kumpa kampani ila cha ajabu ghafla akaanza kuonesha makalio yake juu ya jukwaa, hii huu ni uungwana kwa mtu aliyewahi kuwa Miss Tanzania? au ndo zile bhangi hazijaisha bado?View attachment 33316
www.hassbaby.blogspot.com
wewe ni mgeni hapa town! ana nini yulee? USIHADAIKE NA RANGI TAMU YA CHAI SUKARI MUZEEE! mrembo wa ukweli anaejiamini hawez kaa uchi kadamnasini no matter ni g or f sting amijipigilia! we mupenz wako akianika nyeti zako vile unakubali? ukisema ndio naomba ban manake ntatukana walah tena!!! naamini unataka kumchungulia tuu .Ila jamani tuache masihara Wema yuko bomba hasa nikimuangaliaga kwa nyuma nyie acheni tu.Me ningekuwa inzi kila wakati ningetua kwenye kalio lake.