Hertz fires 25 Muslim drivers in break dispute

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
SEATTLE (AP) - Hertz is firing 25 Somali Muslim drivers atSeattle-Tacoma International Airport who have refused to agree to clock out for daily breaks during which they normally pray.

The workers drive the company's rental cars to and from the airport for cleaning and refueling. They are among 34 Hertz employees suspended Sept. 30 for failing to clock out before breaks.

The Seattle Times reports that Hertz says nine of the 34 signed the agreement and have returned to their jobs.

Hertz spokesman Rich Broome says the company made it clear the workers needed to agree to the clock-out conditions by the end of the day Thursday if they wanted to be reinstated. The newspaper says termination letters have been sent to the 25.

The company has said some workers were taking longer than the 10 minutes allowed.
Observant Muslims pray several times a day.
___
Information from: The Seattle Times, The Seattle Times | Seattle Times Newspaper
 
Mhh vita dhidi ya uislam ni kubwa!kila gazeti taarifa ya habari haikosi kuzungumzia uislam na waislam
 
Mimi sioni hii kuwa ni vita dhidi ya Uislamu. It is all about business and the bottom line. Nimewahi kufanya kazi katika viwanda vya Marekani. Hawakupi ten minutes break for anything.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mimi sioni hii kuwa ni vita dhidi ya Uislamu. It is all about business and the bottom line. Nimewahi kufanya kazi katika viwanda vya Marekani. Hawakupi ten minutes break for anything.
zhangwei1.jpg

zhangwei2.jpg

zhangwei3.jpg
 
KWa hiyo wao walitaka walipwe wakati hawafanyi kazi?
 
Wewe kama ufanyi production unataka ulipwe...; its all about kufata rules and regulations za sehemu husika hutaki tafuta kazi sehemu nyingine..

Wewe unalipwa for 8 hours a day na breaks ushapewa unataka uongezee break zako mwenyewe.... !! ??;
 
Watahangaika sana na uislam na waislam hawatashind period

Huwezi kuacha kusali eti kisa man made rules..
 
Watahangaika sana na uislam na waislam hawatashind period

Huwezi kuacha kusali eti kisa man made rules..

Mkuu tatizo sio kusali tatizo ni kuondoka during work hours bila ku-clock out...; kwahiyo kama wewe unaona tabu nenda kaombe kazi pengine au msikitini au kanisani ambapo watakuruhusu kuchukua breaks kila unapota.., kila sehemu kuna sheria zake ambazo inapaswa uzifate hutaki ondoka
 
Mkuu tatizo sio kusali tatizo ni kuondoka during work hours bila ku-clock out...; kwahiyo kama wewe unaona tabu nenda kaombe kazi pengine au msikitini au kanisani ambapo watakuruhusu kuchukua breaks kila unapota.., kila sehemu kuna sheria zake ambazo inapaswa uzifate hutaki ondoka

Ndiyo hizo sheria zenu lazima ziwe flexible na time zetu za kusali period..

Hayo ya kuweka man made rules mbele na kwa wakristo ni possible si kwa muslim

Hawatawezi..mimi nafanya kazi ulaya na they give my time to pray as usual..

Nimewaambia nakuja jumapili siku ambyo wengi hawataki they are happy..

Hao jamaa ni udini unawasumbua lakini they will not win at all..wana popularize islam zaidi
 
Sisi wabantu bana tumezoea Mitelemko sana, sasa wewe hutaki ku-clock out ina maana unataka ulipwe bure~ndio maana tunaendelea kupiga kwata wakati wenzetu wanaruka na drones!.
 
Ndiyo hizo sheria zenu lazima ziwe flexible na time zetu za kusali period..

Hayo ya kuweka man made rules mbele na kwa wakristo ni possible si kwa muslim

Hawatawezi..mimi nafanya kazi ulaya na they give my time to pray as usual..

Nimewaambia nakuja jumapili siku ambyo wengi hawataki they are happy..

Hao jamaa ni udini unawasumbua lakini they will not win at all..wana popularize islam zaidi

Mkuu sasa shida ipo wapi watafute sehemu ambapo wewe ulipata ili waongee nao waone kama itakubalika tatizo sio kusali tatizo wamesema hapo juu hakuna breaks zaidi ya 10minutes bila clocking out period sasa waache kazi na kutafuta pengine au waombe kufanya kazi usiku na masaa ambayo hawawezi kusali viwanda vya wenzetu ni 24 hours na Jumapili na Jumamosi kwao ni resting day ukifanya kazi that is overtime (kulingana na mlivyopatana kwenye contract..)

Kwahiyo mkuu when in Rome live like Romans..., hutaki anzisha kiwanda chako
 
Ndiyo hizo sheria zenu lazima ziwe flexible na time zetu za kusali period..

Hayo ya kuweka man made rules mbele na kwa wakristo ni possible si kwa muslim

Hawatawezi..mimi nafanya kazi ulaya na they give my time to pray as usual..

Nimewaambia nakuja jumapili siku ambyo wengi hawataki they are happy..

Hao jamaa ni udini unawasumbua lakini they will not win at all..wana popularize islam zaidi
China sijui India sku izi imekuwa ulaya?
Na tangu lini uanafunzi ni kazi?
Teh teh teh
 
Mkuu sasa shida ipo wapi watafute sehemu ambapo wewe ulipata ili waongee nao waone kama itakubalika tatizo sio kusali tatizo wamesema hapo juu hakuna breaks zaidi ya 10minutes bila clocking out period sasa waache kazi na kutafuta pengine au waombe kufanya kazi usiku na masaa ambayo hawawezi kusali viwanda vya wenzetu ni 24 hours na Jumapili na Jumamosi kwao ni resting day ukifanya kazi that is overtime (kulingana na mlivyopatana kwenye contract..)

Kwahiyo mkuu when in Rome live like Romans..., hutaki anzisha kiwanda chako

Mkuu dunia haiwezi kurahisi hivyo wewe unaongea kwakuwa huyu jamaa ni muislam na una chuki zako binafsi..

Ukijenga kiwanda kwa dunia ya sasa tegemea kupata wafanyakazi wa imani mbalimbali na uangalie namna bora ya kutreat imani za watu..it doesn't make your company weak rather profitable (kwa accomodate skills mbalimbai)

Sasa wewe unavyota outright rule napata taabu sana ku-argue na watu wenye chuki kama wewe..

Sisi tunaamini lazima usali whetever it takes "so we cant be like romans no" we want to be muslims period

Eti kama hutaki anzisha kiwanda chako wewe ndio chizzi kweli ..

Punguza chuki mkuu kila mtu ana haki ya kuheshimiwa anachokiamini period..na lazima afanye kazi pia..
 
It is all about business and the bottom line.
Na sio business bottom line tu, hata ingekuwa ni wafanyakazi wa community clinic inayotibu kwa charity, ukisha saini mkataba wa kazi unaokutaka uweko kazini masaa x, break ya dakika Y, u clock out at time T, that's it, huwezi kukumbuka dini katikati ya mkataba wa kazi halafu suddenly ukasema unataka ulipwe kwa kusali. Mwajiri atakwambia hukuja kusali hapa, umekuja kufanya kazi.

You need to pray five times a day take a day off, for heaven's sake! Ikiwa utamaduni wa mazingira hayo ya kazi hayakufai rudi kwenu, Al Shabab wanaruhusu kusali kazini 400 times a day if you want.
 
Na sio business bottom line tu, hata ingekuwa ni wafanyakazi wa community clinic inayotibu kwa charity, ukisha saini mkataba wa kazi unaokutaka uweko kazini masaa x, break ya dakika Y, u clock out at time T, that's it, huwezi kukumbuka dini katikati ya mkataba wa kazi halafu suddenly ukasema unataka ulipwe kwa kusali. Mwajiri atakwambia hukuja kusali hapa, umekuja kufanya kazi.

You need to pray five times a day take a day off, for heaven's sake! Ikiwa utamaduni wa mazingira hayo ya kazi hayakufai rudi kwenu, Al Shabab wanaruhusu kusali kazini 400 times a day if you want.

Punguza chuki mkuu utakufa bure

Unaongea utafikiri hizo nchi hazina waislam wazalendo? (born in UK or US)???

Kuna wazalendo kibao je warudi kwao wapi? lazima viwanda viangalie namna bora ya kuishi na watu wenye imani tofauti
 
Mkuu dunia haiwezi kurahisi hivyo wewe unaongea kwakuwa huyu jamaa ni muislam na una chuki zako binafsi..

Ukijenga kiwanda kwa dunia ya sasa tegemea kupata wafanyakazi wa imani mbalimbali na uangalie namna bora ya kutreat imani za watu..it doesn't make your company weak rather profitable (kwa accomodate skills mbalimbai)

Sasa wewe unavyota outright rule napata taabu sana ku-argue na watu wenye chuki kama wewe..

Sisi tunaamini lazima usali whetever it takes "so we cant be like romans no" we want to be muslims period

Eti kama hutaki anzisha kiwanda chako wewe ndio chizzi kweli ..

Punguza chuki mkuu kila mtu ana haki ya kuheshimiwa anachokiamini period..na lazima afanye kazi pia..

Mkuu jaribu kufikiri out of the Box mimi sina chuki wala siangalii mtu sababu ya imani yake au character yake.., kama ni kufanya kazi na ninataka mtu wa kuendesha gari masaa nane within a given time sitajali huyo mtu anafanya nini kama gari litaendeshwa na hata kama akiwa Dalai Lama au Papa mwenyewe itabidi ajibu kama gari halitaendeshwa...

Mkuu ndio maana kazi ni nyingi na mtu unachagua kulingana na imani yako huwezi kwenda kuomba kazi bar alafu ukawaambia sababu mimi imani yangu haitaki pombe basi muanze kuuza soda peke yake ili kuni-accomodate na mimi.., it does not work like that bro.., ndio maana nikasema when in Rome..., kampuni asitafuti wafanyakazi ili waende pale kuhubiri dini kwahiyo any personal thing should be done in personal time and not companies time..., kuna kazi za kutangaza dini hizi nadhani unaweza ukalipwa kwa kusali 24/7
 
Punguza chuki mkuu utakufa bure

Unaongea utafikiri hizo nchi hazina waislam wazalendo? (born in UK or US)???

Kuna wazalendo kibao je warudi kwao wapi? lazima viwanda viangalie namna bora ya kuishi na watu wenye imani tofauti

Toa suggestion wafanye nini kama hicho ni kiwanda ambacho kinahitaji madereva within a given time wafanye timely delivery.., dereva anaitwa ili apeleke mzigo sehemu fulani ku-meet deadline.., unapewa jibu hayupo (hivi wewe unaona hii ina-make sense, and it does not matter anachokifanya huko kama ni kusali au kupiga usingizi...) A driver should drive period... hayo mengine atafanya in his own time
 
Mkuu jaribu kufikiri out of the Box mimi sina chuki wala siangalii mtu sababu ya imani yake au character yake.., kama ni kufanya kazi na ninataka mtu wa kuendesha gari masaa nane within a given time sitajali huyo mtu anafanya nini kama gari litaendeshwa na hata kama akiwa Dalai Lama au Papa mwenyewe itabidi ajibu kama gari halitaendeshwa...

Mkuu ndio maana kazi ni nyingi na mtu unachagua kulingana na imani yako huwezi kwenda kuomba kazi bar alafu ukawaambia sababu mimi imani yangu haitaki pombe basi muanze kuuza soda peke yake ili kuni-accomodate na mimi.., it does not work like that bro.., ndio maana nikasema when in Rome..., kampuni asitafuti wafanyakazi ili waende pale kuhubiri dini kwahiyo any personal thing should be done in personal time and not companies time..., kuna kazi za kutangaza dini hizi nadhani unaweza ukalipwa kwa kusali 24/7

Nakubaliana na yote uliyoyaandika Mkuu, lakini kuna wengine watang'ang'ania kwamba ni vita dhidi ya Waislamu, kitu ambacho hakina ukweli wowote. Muajiri anataka ufanye kazi masaa manane kwa siku na siyo masaa saba na nusu au saba na robo, ukiingiza sheria zako ambazo mwajiri wako hakubaliani nazo basi itakula kwako. Nidhamu ya kazi ni muhimu katika kulinda ajira yako.
 
Nakubaliana na yote uliyoyaandika Mkuu, lakini kuna wengine watang'ang'ania kwamba ni vita dhidi ya Waislamu, kitu ambacho hakina ukweli wowote. Muajiri anataka ufanye kazi masaa manane kwa siku na siyo masaa saba na nusu au saba na robo, ukiingiza sheria zako ambazo mwajiri wako hakubaliani nazo basi itakula kwako. Nidhamu ya kazi ni muhimu katika kulinda ajira yako.
Tatizo hapa BAK ni kuwa kuna watu wanapenda kupinga kwa kupinga tu. Ikiwa mtaangalia kwa nini wamesimamishwa kazi, si kwa sababu ya dini bali kutokubaliana na masharti ya kazi. Kwa nini wengine wamekubalina na masharti? Hawa walokataa ni waislamu zaidi? Dini ya Kiislamu iko flexible, iweje mtu aruhusiwe kusali akiwa vitani ndani ya mbio, huyu anayeendesha gari asiweze kusali wakati anaendesha gari. Hakuna ulazima wa kuwa uende msikitini, popote unaweza kusali ikiwa umo katika amali ya halali. Kwani sala ni nini? Ninavyoelewa kwa muumini ni mawasiliano yake na muumba wake bila kujali pahali
 
Back
Top Bottom