Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
Ukweli elimu inamsaidia mtu kuwa na ufahamu katika maisha na kujua jinsi ya kukabidhi changamoto za maisha na kadiri mtu unapozidi kusoma ndivyo ufahamu na uwezo wa kupambanua mambo unakuwa mkubwa. Ukweli wanawake wa elimu ya chini ni wagumu sana kwenye swala la kubadilika kifikira au kimtazamo kwa kile wanachoamini ni sahihi(kama kadanganyika ni forever, kama ni umalaya, ngono, kuwa mrahisi, uhuni, tamaa vipo kwenye fikra zake ni forever ni vigumu kubadilika). Ila wasomi ni kinyume chake japo wanamadhaifu ya kuongoza kwa usaliti kuliko wa elimu ya chini kutokana na kukutana na mazingira tofauti tofauti. Mwisho inakuwa kwamba mwanaume ambaye ameoa mwanamke wa hali hiyo anakazi ya ziada ya kuibadilisha familia yake kimfumo wa maisha hata kimaendeleo
source: The Budapest Sun la Hungary
JAMANI TUSAIDIANE EXPIRIENCE!
source: The Budapest Sun la Hungary
JAMANI TUSAIDIANE EXPIRIENCE!