KITENGE KOFIA
Member
- Oct 14, 2012
- 35
- 24
Kweli nimeamini kwa nini mungu wetu yesu umeitwa mfalme wa amani...sasa naweza kupinga wewe sio nabii issa.na bila shaka wanafanya makosa kukutambua kwa jina hila.
Nakupenda yesu wetu kwa kuwa umetuandaa tusipigaie imani yako kwa njia ya mwili,ulijua hapata kalika...bado mlango uko wazi karibuni kwa mfalme wa amani,mungu mwenye nguvu
Nakupenda yesu wetu kwa kuwa umetuandaa tusipigaie imani yako kwa njia ya mwili,ulijua hapata kalika...bado mlango uko wazi karibuni kwa mfalme wa amani,mungu mwenye nguvu