Heri wenye moyo safi

KITENGE KOFIA

Member
Oct 14, 2012
35
24
Kweli nimeamini kwa nini mungu wetu yesu umeitwa mfalme wa amani...sasa naweza kupinga wewe sio nabii issa.na bila shaka wanafanya makosa kukutambua kwa jina hila.
Nakupenda yesu wetu kwa kuwa umetuandaa tusipigaie imani yako kwa njia ya mwili,ulijua hapata kalika...bado mlango uko wazi karibuni kwa mfalme wa amani,mungu mwenye nguvu
 
Amen,,yesu si nabii isa ni upotoshaji

mie huwa nawambia hatuabud kile wanachokiabudu, Yesu si mwanadam japo alijishusha akazaliwa kwa mwl ili kuleta usawa,angekuja kimungu asingetimiza lengo lake mana tngemwogopa! Tunatafta nafasi ya mbinguni ndo mana hatpgan vta ya kimwl,sie twapgana vita vya kiroho dhd ya pepo wachafu na majini! Mwl tutauacha! NA ROHO YA MAUAJI KAMWE SIO YA MUNGU,labda Allah na mtume muddy!
 
Hivi kwani marehemu mtume aliwafundisha haya wayafanyao mie mbona sielewi na nashndwa kumlaumu mohamed moja kwa moja
 
Ametunukiwa jina lipitalo majina yote Yesu hawezi kuwa Issa. Yesu ni Yesu mbona sisi hatujamtaja huyo wao wamtaje Yesu kwao waone nguvu zake Yesu hatajwi kwao wanajua moto wake. Kila goti litapigwa mbele ya jina hilo ukilitaja tu. Chezea kila kitu lakini Yesu kiboko.
 
AMEN,yesu ni njia ya Amani,hapo mwanzo kulikuwa na neno..........kumbe neno ni MUNGU.
 
AMEN,yesu ni njia ya Amani,hapo mwanzo kulikuwa na neno..........kumbe neno ni MUNGU.

and the Word was with God,and the Word was God.,through him all things were made;without him nothing was made that has been made.
 
Matayo 5:8 Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.
 
hivi kwani marehemu mtume aliwafundisha haya wayafanyao mie mbona sielewi na nashndwa kumlaumu mohamed moja kwa moja

wanafunz wanachokipraktize ndicho walichofundishwa.........mwanafunz anavyoonekana aamwakilisha mwalimu wake
 
Back
Top Bottom