Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Jamani, kwanza unishukuru.
Nina deni la vocha kwa mangi 23,520.
Niko via Mobile muda mwingi
Leo imebidi nije intanet kefu, nimelipia masaa 3.
Nikipata mkopo finca ntanunua komputa mpakato.
Kompyuta mpakato ya nini ?
Hayo Mayai huyahitaji tena kuyatumia ?