Kuanzia leo yule mbunge wa Lushoto kupitia CCM bwana Henry Dafa Shekifu anajulikana kama Dr. Hendry Dafa Shekifu.
Souce Bungeni.
Dr. wanazidi kuongezeka.
Kuanzia leo yule mbunge wa Lushoto kupitia CCM bwana Henry Dafa Shekifu anajulikana kama Dr. Hendry Dafa Shekifu.
Souce Bungeni.
Dr. wanazidi kuongezeka.
PHD English Zero= Useless.
Madokta wengi wa kisiasa wana mafuvu matupu hawana msaada wowote na hawataki kujishughulisha zaidi ya zaidi ya kunyemelea ubunge na kusubiri huruma za rais ili wapewe uwaziri, ubalozi, ukuu wa mikoa na hata Wilaya. Madokta wa nchi za wenzetu utawakuta wakifanya tafiti iwe ni maabara au tafiti za kijamii au nyinginezo za kuisaidia jamii lakini huku kwetu akina Paseko Kone na wenzake akina Makofuli wanafanya nini cha maana?