Jituoriginal
JF-Expert Member
- Feb 8, 2010
- 350
- 31
Ni kitu gani?
Jaribu hii maji ya ganda la mgomba unaponda na kupaka kwenye unyeo kutwa mara tatu kwa wiki mbili.mi nimepona .anusol haikunisaidia pamoja na kuitumia kwa miaka miwili .mgomba just two wiki. usipopona nenda hospitalini kafanye Oparesheni ya ukataji hiyo Hemorhoids source https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/147367-kinyama-sehemu-ya-haja-kubwa.htmlMwaka wa pili nasumbuliwa na HEMORHOIDS .Nimetibiwa Kwa mvungi na Kairuki kwa kupewa Anusol cream na ANUSOL TABLE .LAKINI HAKUNA NAFUU .JE KUNA TIBA MBADALA? NAOMBA USHAURI.
Ni kitu gani?