HIYO NI PHOTOSHOP, Angalia huyo jamaa mwenye koti jeusi nywere zake hapo wame mtransfer nakutumia blur tools nywele zaonyesha,
pili kama hiyo picha ingekuwa kweli basi hiyo jamaa mwenye sutu alipaswa ashuke kidogo lkn hapo ukiangalia disigner alimpandisha juu kidogo akapoteza angle ya uhalisia.......ila kajitahidi.
iwe photoshop iwe ni kweli..! mimi hawa jamaa naona wanainvest sana kwenye mambo ya starehe badala ya kuinvest kwenye production ili mambo yao yaingie kwenye competition za ukweli huko mbele..! wenyewe wamen'gan'gania maformat yao ya zamani kwakweli movie za bongo zinaniboa sana..!
siwapendi hawa watul
akini tusiwachafue kwa hili..
tuachane na chuki za kijinga
mimi ingawa siwapendi lakini sipendi kuona mtu akisingiziwa na kuchafuliwa jina lake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.