Hiyo itakuwa ilidondoka,sasa kuna vitu vingi sana vyakufanya moja washa zima towabetri kisha weka,pili inabidi uwe makini kwani inawezekana ilidondoka kwenye mchanga sasa kuna viji michanga viliingia inahitaji kusafishwa kwa makini,kama ndio utakuwa ulisha jaribu sana washa zima michanga inaweza ikawaishachubua zilenjia mule ndani ndio basi tena utaliwa pesa tu bora ununue nyingine na kama ina guarantee ipeleke ulipo nunua.Pole sana.
Camera yangu mimi ndg zangu inakula sana betry, nikiweka huwezi piga zaidi ya picha 10, inakupa ujumbe ya low betry. Betry nonazotumia ni za maisha marefu baada ya kuona za kucharge hazidumu, nikadhani charger mbovu kumbe siyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.