Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,141
Nilikuwa na blackberry nataka kuiunga kwenye mtandao nikaenda vodacom na zain kuomba waniunganishe nikaambiwa lazima niweke kama 40gz kuweka mtandao ambayo kila mwezi nitatakiwa kulipa whether nimetumia au cjatumia wakaniambia blah blah kibao as if kwamba nikiwa na blackberry sina option ya kulipa kwa jinsi ninavyotumia lazima nijiunge na hiyo ya kulipia kwa mwezi. Ckuridhika na hilo jibu nikaamua nifanye utafiti zaidi kama option ya kulipia kwa jinsi unavyotumia ni possible. Since blackberry wameilock browser inayokuja na simu na ili kuifungua ni mpaka kwa service provider na service provider ndo anataka niingie kwenye kitu ambacho cjakipenda. Advantage naambiwa eti hamna limited connection una surf kadri uwezavyo. Matumizi yangu ya net kwenye simu hayafiki hiyo 40 per month coz naitumia tu pale napokuwa nje ya ofisi na kuna information nahitaji mtandaoni. Nikaamua kudownload opera browser kwenye mtandao na kufanya installation. Bahati nzuri imefanya kazi na ndo naitumia kupost hii meseji. Sasa tatizo langu ni kwamba nikitaka kodownload a file kama pdf inafungua external browser ambayo ndo ya simu kwa hiyo nashindwa ku download. Vipi nitaifanya hii opera my default browser ili isiwe inaenda kwenye browser ile ambayo ipo locked