Help with a blackberry

Freelancer

JF-Expert Member
Sep 22, 2008
2,965
2,141
Nilikuwa na blackberry nataka kuiunga kwenye mtandao nikaenda vodacom na zain kuomba waniunganishe nikaambiwa lazima niweke kama 40gz kuweka mtandao ambayo kila mwezi nitatakiwa kulipa whether nimetumia au cjatumia wakaniambia blah blah kibao as if kwamba nikiwa na blackberry sina option ya kulipa kwa jinsi ninavyotumia lazima nijiunge na hiyo ya kulipia kwa mwezi. Ckuridhika na hilo jibu nikaamua nifanye utafiti zaidi kama option ya kulipia kwa jinsi unavyotumia ni possible. Since blackberry wameilock browser inayokuja na simu na ili kuifungua ni mpaka kwa service provider na service provider ndo anataka niingie kwenye kitu ambacho cjakipenda. Advantage naambiwa eti hamna limited connection una surf kadri uwezavyo. Matumizi yangu ya net kwenye simu hayafiki hiyo 40 per month coz naitumia tu pale napokuwa nje ya ofisi na kuna information nahitaji mtandaoni. Nikaamua kudownload opera browser kwenye mtandao na kufanya installation. Bahati nzuri imefanya kazi na ndo naitumia kupost hii meseji. Sasa tatizo langu ni kwamba nikitaka kodownload a file kama pdf inafungua external browser ambayo ndo ya simu kwa hiyo nashindwa ku download. Vipi nitaifanya hii opera my default browser ili isiwe inaenda kwenye browser ile ambayo ipo locked
 
1. Hakikisha una latest version ya Opera Mini

2. Sijui una Blackberry ipi, lakini angalia Firmware version ya Blackberry yako ingia
Options-> About
au Settings->Options-> About.
Utakuta kitu kama "v.4.xxxx"

3. Kama Firmware yako ni chini ya 4.2 basi simu yako haiwezi kusuport kusave moja kwa moja kutoka Opera Mini.

4. Kama ni 4.2 au zaidi inatakiwa ifanye kazi, kama umefikia hizo requirements lakini inagoma basi naomba urudi na model ya blackberry yako tujaribu kukusaidia zaidi.
 
1. Hakikisha una latest version ya Opera Mini

2. Sijui una Blackberry ipi, lakini angalia Firmware version ya Blackberry yako ingia
Options-> About
au Settings->Options-> About.
Utakuta kitu kama "v.4.xxxx"

3. Kama Firmware yako ni chini ya 4.2 basi simu yako haiwezi kusuport kusave moja kwa moja kutoka Opera Mini.

4. Kama ni 4.2 au zaidi inatakiwa ifanye kazi, kama umefikia hizo requirements lakini inagoma basi naomba urudi na model ya blackberry yako tujaribu kukusaidia zaidi.

Natumia 8310 na firmware ni 4.5. X. X. Latest version ya mini opera ni ipi?
 
Pia hiyo simu kwanini ko locked? Yaani iko locked to network ipi?
 
Opera 4.2 ndo latest
Umeshaitest hiyo version 4.2 sababu ndo ambayo ninayo. Nimejaribu kuperuzi forum mbali mbali naona kama opera hawaja implement hiyo feature. Labda unipe link ya hiyo version 4. 2 inayofanya kazi yangu haifanyi
 
Pia hiyo simu kwanini ko locked? Yaani iko locked to network ipi?
Haipo locked to any network sababu natumia line za mitandao tofauti. Default browser ndo imekuwa locked. Kwa hiyo siwezi pata internet na default browser
 
Umeshaitest hiyo version 4.2 sababu ndo ambayo ninayo. Nimejaribu kuperuzi forum mbali mbali naona kama opera hawaja implement hiyo feature. Labda unipe link ya hiyo version 4. 2 inayofanya kazi yangu haifanyi
Hiyo feature ipo kwenye 4.2
http://www.opera.com/mini/features/
"
....... you can now upload and download files using Opera Mini, without being re-routed to your phone’s native browser......."
Haipo locked to any network sababu natumia line za mitandao tofauti. Default browser ndo imekuwa locked. Kwa hiyo siwezi pata internet na default browser

Simu kama umeinunua unlocked browser haitakiwi kuwa locked. Unamaanisha nini unaposema Browser iko locked? Ukijaribu kuitumia browser kitu gani kinatokea?
Umechezea settings za mtandao kwenye simu? APN na vitu kama hivyo?
 
Hiyo feature ipo kwenye 4.2
http://www.opera.com/mini/features/
"
....... you can now upload and download files using Opera Mini, without being re-routed to your phone's native browser......."


Simu kama umeinunua unlocked browser haitakiwi kuwa locked. Unamaanisha nini unaposema Browser iko locked? Ukijaribu kuitumia browser kitu gani kinatokea?
Umechezea settings za mtandao kwenye simu? APN na vitu kama hivyo?

Naambiwa kwamba niipeleke kwa service provider wangu sababu browser settings hazijawa configured. sababu nilinunua hand set zain inawezekana walisha temper nayo. Lakini ckununua under any contract ilikuwa kwamba wananipa simu yangu na mimi naweza kutumia mtandao wowote. Currently nipo tigo
 
Naambiwa kwamba hiyo feature ipo kwenye simu zinazosupport JRS 45. Nitajuaje kama cimu yangu inasupport hicho kitu?
 
Naambiwa kwamba hiyo feature ipo kwenye simu zinazosupport JRS 45. Nitajuaje kama cimu yangu inasupport hicho kitu?

Wanasema kama una Firmware 4.2 or above inatakiwa kufanya kazi.

Settings za net zipo kwenye
Options > Advanced Options > TCP.
Kama zinabadilishika basi weka za provider wako, i.e Tigo.
 
Freelancer,
Naomba utuwekee settings unazotumia kwenye BB yako kupata Internet.
 
Freelancer,
Naomba utuwekee settings unazotumia kwenye BB yako kupata Internet.
Sina settings zozote napata mtandao directly. Nimebrowse forum moja nimekuta article ya ku enable browser without black berry data plan. Ndo nitaifanyia kazi halafu nitawajulisha. Citaki kutumia hiyo data plan yao nataka kutumia tu internet kama kwenye simu zingine
 
Sina settings zozote napata mtandao directly. Nimebrowse forum moja nimekuta article ya ku enable browser without black berry data plan. Ndo nitaifanyia kazi halafu nitawajulisha. Citaki kutumia hiyo data plan yao nataka kutumia tu internet kama kwenye simu zingine

Tafuta settings za Tigo (APN etc) dumbukiza kwenye BB, then browser itafanya kazi.
 
Tafuta settings za Tigo (APN etc) dumbukiza kwenye BB, then browser itafanya kazi.
Issue sio apn. Kama kuna mtu anafahamu apn anipatie. Ni the way simu ilivyokuwa configured. Natakiwa kuwipe out IT policy settings. Hizo ndo zinafanya nishindwe kutumia browser. Nimedownload tool ya kufanya hivyo
 
Issue sio apn. Kama kuna mtu anafahamu apn anipatie. Ni the way simu ilivyokuwa configured. Natakiwa kuwipe out IT policy settings. Hizo ndo zinafanya nishindwe kutumia browser. Nimedownload tool ya kufanya hivyo
I remember seeing that somewhere before.
 
Nilikuwa na blackberry nataka kuiunga kwenye mtandao nikaenda vodacom na zain kuomba waniunganishe nikaambiwa lazima niweke kama 40gz kuweka mtandao ambayo kila mwezi nitatakiwa kulipa whether nimetumia au cjatumia wakaniambia blah blah kibao as if kwamba nikiwa na blackberry sina option ya kulipa kwa jinsi ninavyotumia lazima nijiunge na hiyo ya kulipia kwa mwezi. Ckuridhika na hilo jibu nikaamua nifanye utafiti zaidi kama option ya kulipia kwa jinsi unavyotumia ni possible. Since blackberry wameilock browser inayokuja na simu na ili kuifungua ni mpaka kwa service provider na service provider ndo anataka niingie kwenye kitu ambacho cjakipenda. Advantage naambiwa eti hamna limited connection una surf kadri uwezavyo. Matumizi yangu ya net kwenye simu hayafiki hiyo 40 per month coz naitumia tu pale napokuwa nje ya ofisi na kuna information nahitaji mtandaoni. Nikaamua kudownload opera browser kwenye mtandao na kufanya installation. Bahati nzuri imefanya kazi na ndo naitumia kupost hii meseji. Sasa tatizo langu ni kwamba nikitaka kodownload a file kama pdf inafungua external browser ambayo ndo ya simu kwa hiyo nashindwa ku download. Vipi nitaifanya hii opera my default browser ili isiwe inaenda kwenye browser ile ambayo ipo locked

Mkuu,

Baada ya kusoma maelezo yako nimeelewa kwamba ili uweze kutumia kwa raha simu hiyo kwa Tanzania ni lazima uwaone Zain ambao wanatambuliwa na BlackBerry na wao BlackBerry wanatoa software download kupitia Zain.

Sasa matumizi ndio yanayokubana na unaonekana hutaki kutumia internet kupitia Zain, jambo ambalo linakuwa gumu na ndio umechanganya hizo software kati ya "original application" ambayo ama inakuwa kwenye package nzima ya simu yako kwenye CD na hio Opera browser.

Ila ukumbuke Zain ndio wako authorized kukupa service hio na assistance kwa niaba ya BlackBerry.

Wazo langu la kiufundi ni kwamba inabidi uweke Opera Mobile 9.7. ambayo ni latest na special kwa smartphones kama BlackBerry yako na PDA na itakuwezesha ku-surf full web.

Jinsi ya kufanya.

Uninstall web browsers zote zilizomo humo kwenye simu yako na baada ya hapo i-download hio Opera Mobile 9.7 kupitia link ifuatayo

http://www.opera.com/mobile/

Halafu ufanye yafuatayo

1.Save the file on your computer

2.Synchronize it to your Windows Mobile device.

3.Install Opera on your phone.

Ukimaliza anza kushughulika.
 
Last edited:
Back
Top Bottom