Pelham 1
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 548
- 99
Wakuu mpo pouwaaa
Naombe ushauri\msaada
Mpenzi wangu anasema simlidhishi\fikisha anapopataka nifanyeje na sio kawaida yangu na sijawahi kuambiwa kitu kama hiki maishani mwangu. Shortly; tangia tumeanza uhusiano yetu tumeshakutana kimwili kama mara 2 anaenjoy nakutoa ushikiano wa kutosha bt hii ya mwisho ameniambia sijamlidhisha wala kumfikisha anapopataka zaidi ya kumpaka shombo za mabao yangu.
Sijajua sabb nn mpaka imekuwa hivi japo nilijituma kwa nguvu zote nakuchelewa kumwaga bt bado nilikuwa nachoka haraka tofauti na mwanzo, Kimtindo huwa nafanya mazoezi ya push up kama 100 na hata nikiwa na pambano nae je huwenda hili nalo linachangia?
Naombeni ushauri na msaada plizz maana naogopa hata kukutana nae kwa mara nyingine nikihisi kuchemka tena na ninahisi kuanza kumegawa mda sio mrefu jst kwa kauli alioitoa.
Natanguliza shukrani za dhati.
Naombe ushauri\msaada
Mpenzi wangu anasema simlidhishi\fikisha anapopataka nifanyeje na sio kawaida yangu na sijawahi kuambiwa kitu kama hiki maishani mwangu. Shortly; tangia tumeanza uhusiano yetu tumeshakutana kimwili kama mara 2 anaenjoy nakutoa ushikiano wa kutosha bt hii ya mwisho ameniambia sijamlidhisha wala kumfikisha anapopataka zaidi ya kumpaka shombo za mabao yangu.
Sijajua sabb nn mpaka imekuwa hivi japo nilijituma kwa nguvu zote nakuchelewa kumwaga bt bado nilikuwa nachoka haraka tofauti na mwanzo, Kimtindo huwa nafanya mazoezi ya push up kama 100 na hata nikiwa na pambano nae je huwenda hili nalo linachangia?
Naombeni ushauri na msaada plizz maana naogopa hata kukutana nae kwa mara nyingine nikihisi kuchemka tena na ninahisi kuanza kumegawa mda sio mrefu jst kwa kauli alioitoa.
Natanguliza shukrani za dhati.