elly da anonymous
Member
- Jan 16, 2012
- 7
- 5
Guys naombeni msaada wenu wakutegeneza hii kitu pm me for more details... I need experts on this.. and you will be handsomely paid likifanikishwa....
Vipi, anonymous, hapo nyuma uliweka kitu kuhusu hack ya database uliyoifanya ya TIGO, nilidhani kuwa, utakuwa unayaelewa mambo ya kuitengeneza database ndio ujanja wa ku'hack uwe nao... Au muda hauna kwani upo busy ku'hack kazi za watu?:lol:
Ok ni kwamba making a database from scratch ujuzi nilikuwa nao sio mkubwa na nimepata iyo kazi ndo maana nimekuja kuileta apa jamvni so if your intrested let me know by pm me and i will give you all the detailsMkuu
Ukiseisema developing a database una maana gani ?
Nadhani ungespecify requerement zako zaidi kabla hatujaaanza kuku pm. Na ukiweka hapa una nafasi nzuri ya upat mawazo mengi zaidi
- Is a database already designed yaani details za tables, data type, relationships,PK and FK et c tayar unazo?
- Au unataka developer akutengenezee logical database modal wewe mwenyewe utakamilisha na implimentation
Ok i will do thatNi PM tufanye hiyo kazi kijana.
Nani kasema utani?
Au hutaki ile thread nyingine iambatanishwe kwenye ombi lako? Wewe umejizatiti kuwa hacker, kwa hivyo ninatoa tahadhari kwa yule atakaye 'kusaidia' kuitengeneza hii database ajue wewe ni mtu wa aina gani, isijekuwa unataka kuutumia ujuzi wake ulio halali kufanya mambo ya wizi! na kumuingiza gizani...