Haya ngoja nifanye fasta,thanks.
Haya ngoja nifanye fasta,thanks.
Usipate shida ya kuandika neno thanks, we bonyeza kidude cha LIKE pale kulia, ITANITOSHA!Haya ngoja nifanye fasta,thanks.
Usipate shida ya kuandika neno thanks, we bonyeza kidude cha LIKE pale kulia, ITANITOSHA!
Invisible mwenyewe hajajibu mpaka sasa..ive tried logging out and then log in using the proposed username-all in vain!
hahahahahaaaa....!!! atakuwa kalala labda. nakuhakikishia hadi kesho saa nne atakuwa kashabadirisha.
Samahani mkuu,hv faida za kugongewa likes ni nini? Sijui kabisa mie mara nyingi nipo kwa simu,sijui hata kwa sasa nina post ngapi huku nilipo nalima mitandao mingi(3G/CDMA) haishiki natumia GPRS/EGDE tu,kimodem akifanyi kazi.
Nlivo na hamu ya kubadili jina yani nakesha kabisa nasubiri..kuna masuala mengine hayawezekani ila kwa kufunga na kuomba na kukesha..
Bado hajaamka endelea kuvumilia!Mbona hanijibu tu invisible muda wote huo?
Si umeona sasa eeeh?Mbona hanijibu tu invisible muda wote huo?