The_Emperor
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 871
- 125
Jamani naomba msaada,built-in-browser ya phone yangu haioperate tena na ni baada ya huhack internet ya zantel na kutumia kwa muda wa 2weeks,na nilidownload zaidi ya 1GB pamoja na browsing kwa kwenda mbele.Je,tatizo linaweza kuwa nini mpaka ilete tatizo hili?