Help me find the job wanajamii

JE SIYE TUSIOJULIKANA TUTAPATA KAZI ?


  • Total voters
    3

BabaTina

JF-Expert Member
Aug 29, 2008
429
574
JAMANI MAMBO VIPI WANAJAMII MIE NI MOJA KATI YA WATANZANIA WASIO NA AJIRA LAKINI NIPO KATIKA MCHAKATO MZIMA WA KUTAFUTA KAZI LAKINI NIMEONA NI BUSARA NIKIWASHIRIKISHA WANAJAMII WENZANGU KATIKA UTAFUTAJI HUU KWANI MPAKA SASA NIMEKWISHA ANDIKA BARUA KIBAO AMBAZO NAHISI ZIMETIWA KAPUNI ZIKISUBIRI HURUMA YA MWENYEZI MUNGU ITOKEE.

YOU KNOW KUNA HATA BAADHI YA SEHEMU NILIZOPITA WAKANIAMBIA THEY CANT GIVE ME JOB COZ I DONT HAVE ANY EXPERIENCE! WONDERFULL ENOUGH THEY DIDN'T EVEN TRY ME TO SEE IF I CAN DO THE JOB,GUSH!

SOMEPLACES NILIWAOMBA NIFANYE 'VOLUNTEER' BUT STILL WALINIANGALIA FROM THE TOP OF MY HEAD TO TIP OF SHOE JUST TO SEE IF I AM LOOKING LIKE THEM,I DONT KNOW WHAT THEY RULED OUT OF ME.

IT SEEMS AS NO BODY KNOWS ME THATS WHY THEY DONT WANT TO GIVE ME A JOB.AS THE REASON PEOPLE I NEED YOUR HELP TOO COZ I BELIEVE KUNA WATU KATIKA HII FORUM WANAWEZA KUTUINGIZA KATIKA KATIKA SYSTEM SIYE TULIOJITUTUMUA KUPATA KAJIELIMU KADOGO TENA KWA MBINDE.

PLEASE WHEN YOU READ THIS MASSAGE KNOW THAT I NEED YOUR HELP

I HAVE A B.A in MASS COMMUNICATION

THANKS.
 
Huko ulikotaka kufanya volunteering, walikuuliza maswali yoyote?



.
 
practical training/fieldwork zako ulikuwa unafanyia wapi?

mara nyingi ukiwa best, hao ndio huwa wanakugombania.

Kama hawakufanya hivyo, mmh! jiulize kwanza ujue kasoroiko wapi.
 
I feel so sorry to my brother. This too happened to me, I tried several times to apply for jobs, but, I end up with frustration. Many employers told me that I don't have adequate experience.

I advised you to join kaziafrica, this is a kenyan website with the objective of helping each other to get job. Even if you're not a kenyan still you could apply and get it. Please don't get tired before you achieve your goal.
 
...Fikiria kuwa mjasiliamali tu ndugu usipoteze muda katika kutafutua kazi ambazo huna uhakika utazipa lini? But najua utaniuliza ujasilia mali bila capital? No kwa kuanzia you can join with some Savings and Credit Cooperatrive societies ambako utajiwekea saving yaho kidogo kidogo kwani kule unaweza kuweka hata sh.1,000 inakubalika and after sometimes utakuwa umejipatia akiba ambayo itakuwezesha kukopa mara 2 au 3 ya akiba yako then you can start moving slowly...Ajira siku hizi zimekuwa ni tatizo ndugu.
 
Pole sana ndugu yangu ila usichoke. Good things never come easily. Nchi yetu bado sana kiuchumi na hasa ukizingatia wachache wanakalia ustawi wetu. Jaribu kuwa mbunifu (mjasiliamali). Ila sikukatishi tamaa ni kazi kweli kupata kazi bongo na ndio maana watu wengi sasa wanakimbilia kwenye siasa ili kupata huruma ya mafisadi. Ushauri wa mwisho kama inakuwa ngumu tafuta kazi ya kufundisha, kuna secondary nyingi hazina walimu nina inami utapata ila wakati ukiendelea nayo jiandikishe kwenye professional bodies ufanye mitihani in a long run utapata kazi professional.
 
Huko ulikotaka kufanya volunteering, walikuuliza maswali yoyote?



.
no they didint ask me any question zaidi ya ulisoma wapi na mambo kama hayo then wakaniambia leave your appication here ndo hadi kesho hawajaniita wakati i know someone ambae ni mdogo hata kieimu kapeleka juzi na kapata chance tayari.
 
Pole sana ndugu yangu ila usichoke. Good things never come easily. Nchi yetu bado sana kiuchumi na hasa ukizingatia wachache wanakalia ustawi wetu. Jaribu kuwa mbunifu (mjasiliamali). Ila sikukatishi tamaa ni kazi kweli kupata kazi bongo na ndio maana watu wengi sasa wanakimbilia kwenye siasa ili kupata huruma ya mafisadi. Ushauri wa mwisho kama inakuwa ngumu tafuta kazi ya kufundisha, kuna secondary nyingi hazina walimu nina inami utapata ila wakati ukiendelea nayo jiandikishe kwenye professional bodies ufanye mitihani in a long run utapata kazi professional.
thanks very much ndg yangu
 
Pole sana ndugu yangu ila usichoke. Good things never come easily. Nchi yetu bado sana kiuchumi na hasa ukizingatia wachache wanakalia ustawi wetu. Jaribu kuwa mbunifu (mjasiliamali). Ila sikukatishi tamaa ni kazi kweli kupata kazi bongo na ndio maana watu wengi sasa wanakimbilia kwenye siasa ili kupata huruma ya mafisadi. Ushauri wa mwisho kama inakuwa ngumu tafuta kazi ya kufundisha, kuna secondary nyingi hazina walimu nina inami utapata ila wakati ukiendelea nayo jiandikishe kwenye professional bodies ufanye mitihani in a long run utapata kazi professional.
i am doing that by the moment but you can also help me to have one
 
I feel so sorry to my brother. This too happened to me, I tried several times to apply for jobs, but, I end up with frustration. Many employers told me that I don't have adequate experience.

I advised you to join kaziafrica, this is a kenyan website with the objective of helping each other to get job. Even if you're not a kenyan still you could apply and get it. Please don't get tired before you achieve your goal.
i appriciate your advice i will do the same brother
 
babatina kuna kazi nimeona VOA angalia chini hapo

International Broadcaster (Radio)(Swahili)

SALARY RANGE: 69,764.00 - 90,698.00 USD per year OPEN PERIOD: Wednesday, September 10, 2008
to Wednesday, September 24, 2008
SERIES & GRADE: GS-1001-12 POSITION INFORMATION: Full-Time Permanent
DUTY LOCATIONS: 2 vacancies - Washington, DC
WHO MAY BE CONSIDERED:
Applications will be accepted from all qualified applicants.

Non US citizens may be considered for this position in the absence of equally or better qualified US citizens. If a non-US citizen is selected, he/she will be placed in the Excepted Service.


JOB SUMMARY:

This position is located at the Voice of America (VOA) and is responsible for conceiving, planning and writing news-related stories for use in radio in the Swahili Service.

THIS IS A BARGAINING UNIT POSITION

Introduction to the Agency: The Voice of America is a component of the Broadcasting Board of Governors. The VOA broadcasts news and information to millions throughout the world in more than 40 languages, via radio, television and the Internet. Our divers, multicultural and dedicated professionals staff correspondent bureaus, transmission stations and marketing offices around the world in addition to our main offices in Washington, DC.


SOMA LINK HII ZAIDI

**************************************************************************
Jitahidi uapply faster nafasi hii wakenya wasije kuchangamkia.......kama ukitaka msaada wowote jus PM me nitakusaidia....MIND YOU TAREHE YA MWISHO NI 24 SEPT
 
babatina kuna kazi nimeona VOA angalia chini hapo

International Broadcaster (Radio)(Swahili)

SALARY RANGE: 69,764.00 - 90,698.00 USD per year OPEN PERIOD: Wednesday, September 10, 2008
to Wednesday, September 24, 2008
SERIES & GRADE: GS-1001-12 POSITION INFORMATION: Full-Time Permanent
DUTY LOCATIONS: 2 vacancies - Washington, DC
WHO MAY BE CONSIDERED:
Applications will be accepted from all qualified applicants.

Non US citizens may be considered for this position in the absence of equally or better qualified US citizens. If a non-US citizen is selected, he/she will be placed in the Excepted Service.


JOB SUMMARY:

This position is located at the Voice of America (VOA) and is responsible for conceiving, planning and writing news-related stories for use in radio in the Swahili Service.

THIS IS A BARGAINING UNIT POSITION

Introduction to the Agency: The Voice of America is a component of the Broadcasting Board of Governors. The VOA broadcasts news and information to millions throughout the world in more than 40 languages, via radio, television and the Internet. Our divers, multicultural and dedicated professionals staff correspondent bureaus, transmission stations and marketing offices around the world in addition to our main offices in Washington, DC.


SOMA LINK HII ZAIDI

**************************************************************************
Jitahidi uapply faster nafasi hii wakenya wasije kuchangamkia.......kama ukitaka msaada wowote jus PM me nitakusaidia....MIND YOU TAREHE YA MWISHO NI 24 SEPT
Babatina ume apply kazi hii?
 
Back
Top Bottom