Hahahahahahaha i love you so much klorokwini ,na sitaacha kukupenda ije mvua, liwake jua, jf iwepo au isiwepo, masika au kiangazi lol....ujue huu mwandiko wa mgeni nimeufananisha na wa Husninyo lol...au wewe unaonaje?
Hata kama anafika hana neno manake nilishamwambia kabisa akitaka ndoa yetu idumu mpaka siku ya kiama aniruhusu nikupende wewe...ameniruhusu tena kwa maandishi ( ntascan nikutumie kwa e-mail).....hebu tumuulize huyu mgeni ni jinsia gani ili tujue kabisa kama ni switihati wako karudi kivingine.hehehe sweetlady sasa kama ndie si utanifukuzia sweetheart wangu tena bana.
Mimi siku hizi nakesha jukwaa hili kumsubiria switihati wangu akuje na id nyengine nimpokee. Sasa wewe unataka kuharibu sherehe.
Halaf hapo I luv u so much, na wewe i luv u so much too. Huku vin diesel hafiki eti au?
Hata kama anafika hana neno manake nilishamwambia kabisa akitaka ndoa yetu idumu mpaka siku ya kiama aniruhusu nikupende wewe...ameniruhusu tena kwa maandishi ( ntascan nikutumie kwa e-mail).....hebu tumuulize huyu mgeni ni jinsia gani ili tujue kabisa kama ni switihati wako karudi kivingine.
Na ujue kabisa siku ukiacha kujibu PM zangu mapigo yangu ya moyo yatasimama hapo hapo lol....huyu wala sio swahiba bana nimejaribu kucheki mwandiko haufanani na wa swahiba....tuendelee kujiachia kwa raha zetu!Si ndo maana nikampigia debe vin dizel bana, yule nitonye bana alipolegezewa jicho tu na sweetlady basi tena ikawa anatuwekea kauzibe mpaka sisi malegend, na ukirudiana na nitonye PM zako sjibu tena. lol
Hivi unazani switihati anaweza akaja kivingine bila kukujulisha wewe swahiba wake na mimi switihati wake?
Dah hawezi bana
Na ujue kabisa siku ukiacha kujibu PM zangu mapigo yangu ya moyo yatasimama hapo hapo lol....huyu wala sio swahiba bana nimejaribu kucheki mwandiko haufanani na wa swahiba....tuendelee kujiachia kwa raha zetu!
Si umeona Rosima hata kuquote post hajui lol
Mi yangu yanasimama ukichelewa kujibu post zangu tu. Utaniuwa sweetlady
kapumzike honey sweetlady , kuna siku nitakupatia sapraiz yako. luv u. tena uniote kwanza mimi kabla vin dizel.Toka lini mtu akamuua mtu anaempenda?.....hapa nasinzia lakini najitahidi kujibu ili usife darling klorokwini....silali mpaka ruhusa yako.
OOOOh thanks my darling klorokwini......heheehehe naisubiria hiyo sapraizi lol.....wewe kwanza afu Vin Diesel ndio anafuatia.......uniote pia..... sleep tight honey!kapumzike honey sweetlady , kuna siku nitakupatia sapraiz yako. luv u. tena uniote kwanza mimi kabla vin dizel.
sweet dreams chwitii, mwenyewe pia acha nitimue. Si unajua nilibaki kwa ajili yako tu .