Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Hahahaha! Uzuri wa Makuti kama unasubiri mtu wako afu asitokee, palepale unakabiziwa kimeo kama utahitaji....LOL (Usisahau, haya yote naambiwaga na marafiki zangu wakware). Naskia pale Mianzini kuna midume inakaa pale spesheli kama kuna fumanizi kazi yao ni kumsaidia aliyefumania kusikomeza storongo zao kwenye kinyeo cha mfumaniwaji....Nasikia bado papo.
Chimbo la Mianzini liko hapa mbele baada ya msaada Kilimani,ila pale kuna mabasha kibao wa kumwaga.
Vigae pana umeme japo pako hovyo sema mimi nafataga nyama choma yao ila lile chimbo utatafutwa Dar nzima hutoonekana,
Corner Bar hapafai pale zile saluni za mbele kulia baada ya mashine kuna rafiki zangu wambea hao,hawakawii kukinukisha home.
Wewe nyoosha maelezo,
Sia bar kuna chimbo kama 2,unaisemea ipi?
Hvi kweli hujawahi kuingia Makuti au pale T.Resort?
Na pale VIP nasikia vigodoro vyake vimefubaa vimekuwa kama ngozi, mkitoka hapo lazima mmoja wenu akajichue, ni kweli? Hivi pale Mndeni hujawahi ingia wewe na yule basha wako? Manake nawaonaga mnapiga sanamnapiga sana mtungi pale BM na PK. Na hapo Kibaoni ukiwa unashuka chini kupita kwa Mkwasa panaitwaje pale? Najua lazima utakuwa unapakumbuka, mi sijawahi kufika hapo, nasimuliwaga tu. Nasikia siku hizi pamechoka.