Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
unajua kukariri ni sumu mwilini,ukugonga sio lazima ukaribishwe,tusiishi kwa mzoea,tuishi kwa mabadiliko
Namuona shadow walker
unajua kukariri ni sumu mwilini,ukugonga sio lazima ukaribishwe,tusiishi kwa mzoea,tuishi kwa mabadiliko
Ng'ombe hazeeki maini ujue..... Hebu come this way...!!!!
Unasoma kuruani au baibo? Tena anda eitin ndo wamekuwa wazoefu kuliko wakongwe. Kwa utoro ndo usiseme, hawatumii mlango wa sebuleni bali wa uani.Unaniitia huko chumbani nije kufanya nini?
Sitaki mi ni bado 'anda eitini'
n'takusemea na Kawambwa,me bado nasoma.
Unasoma kuruani au baibo? Tena anda eitin ndo wamekuwa wazoefu kuliko wakongwe. Kwa utoro ndo usiseme, hawatumii mlango wa sebuleni bali wa uani.
Stuka Madame B.... THINK!! Nlishaingizwa mkenge mtu alikuwa anajiita Rozina, akawa kaweka bonge la avatar ya mrembo. Mwanaume nikajitosa PM nikatongozamo na kupanga kideti tukavunje amri ya sita Tongori pale. Kufika napiga namba aliyonipa (Mi mjanja nlitumia simu ya swahiba angu klorokwini) Nikasikia inaita na njemba moja yenye miguu mitatu, mmoja kilema ikapokea. Mlango nloingilia ndio nliotokea ila kasi ya kuingilia haikuwa sawa na ya kutokea. Chezeya JF weye. Tafazali soma upesi afu unambie niidiliti hii posti. Sitaki wake zangu cacico, Yummy na BADILI TABIA wasisome.Astaghafullilah we babu,eti tunatumia mlango wa...!!wapi vile...???
Jamani wengine mabangaloo yetu hayanaga hayo makitu ya mlango wa uani.
Wageni wote na wenyeji tunapitia na kutokea mlango mkubwa wa mbele.
Babu kagua mgeni,kabla hajaondoka.
Nasikia ni She.
Astaghafullilah we babu,eti tunatumia mlango wa...!!wapi vile...???
Jamani wengine mabangaloo yetu hayanaga hayo makitu ya mlango wa uani.
Wageni wote na wenyeji tunapitia na kutokea mlango mkubwa wa mbele.
Babu kagua mgeni,kabla hajaondoka.
Nasikia ni She.
Stuka Madame B.... THINK!! Nlishaingizwa mkenge mtu alikuwa anajiita Rozina, akawa kaweka bonge la avatar ya mrembo. Mwanaume nikajitosa PM nikatongozamo na kupanga kideti tukavunje amri ya sita Tongori pale. Kufika napiga namba aliyonipa (Mi mjanja nlitumia simu ya swahiba angu klorokwini) Nikasikia inaita na njemba moja yenye miguu mitatu, mmoja kilema ikapokea. Mlango nloingilia ndio nliotokea ila kasi ya kuingilia haikuwa sawa na ya kutokea. Chezeya JF weye. Tafazali soma upesi afu unambie niidiliti hii posti. Sitaki wake zangu cacico, Yummy na BADILI TABIA wasisome.
We mchochelee tu makaguzi akijadedi kitu kimemsimika ! Kidole juu!
Familia yake utaiambia nini ?
Kabla sijakukaribisha bi Janet pen, waweza kutuambia we ni jinsia ipi? She/he?
Kama ni he na unapenda dental formula yako ibakie ilivyo, na baiolojia yako isihamishiwe usoni basi kaa mbali na wake zangu Yummy, BADILI TABIA na cacico chini ya uangalizi wa Kongosho. Tena usiwasogelee princess enny, ummu kulthum na Madame B. Ila kama wewe ni she.... come this way baby kwa ukaguzi yakinifu.
Hahahahaha! Na Lexus ni machinjio ya mabaamed au? Vipi kuhusu Kapongo, ulishaingiamo?Weweee mambo iko huku.
Kwa hyo unaimani wenye avatar na Id za she wanaweza wakawa ni He?
Asa ulikimbia nini?
Ungem'batua tu,kisha mngefanya siri.
Afu Pale Tongori Inn ni machinjio ya wake za watu,
wakezo Yummy, BADILI TABIA na cacico hawajawahi kuchinjwa pale kweli,nina wasiwasi napo.
Afu mafichoni balaa.
Haya idilitiemo fasta.
Hahahahaha! Na Lexus ni machinjio ya mabaamed au? Vipi kuhusu Kapongo, ulishaingiamo?
Hivi Red Apple kuna chimbo kumbe? Hahahahah Mwarubaini? Kisa cha kupeleka kunguni nyumbani? Ila KingStaa afazali kuna magodoro Dodoma na vitanda havilii (Kwa mujibu wa marafiki zangu) Decca in nako? Lol ila Kitimoto enzi zake napo bana...khaa!!!Yani Lexus,Kapongo,RedApple,Kwa mzungu,Vero Inn kote huko niliwapelekaga rafiki zangu tu.
Ila Kapongo usiku panatisha pale uwanjani.
Vipi uliingiamo Mwarobaini?
Ha ha ha ha!
Hivi Red Apple kuna chimbo kumbe? Hahahahah Mwarubaini? Kisa cha kupeleka kunguni nyumbani? Ila KingStaa afazali kuna magodoro Dodoma na vitanda havilii (Kwa mujibu wa marafiki zangu) Decca in nako? Lol ila Kitimoto enzi zake napo bana...khaa!!!
Hahahaha kwa Mangi pale bana dah! Naona siku hizi pamedoda.... Sijui bado papo? Ila Reyna kuna rafiki yangu alinambia vitanda vinalia sana. Kuna mtu alinambia kuna chimbo linaitwa Mianzini, hivi ndio wapi huko? Ila kuna siku nlikuona unaingia Vigae, vipi wameshaweka umeme? Ila usithubutu kwenda Corner bar, nasikia (kwa mujibu wa madereva wa malori naowafahamu) Ni danguro dogo lazima utoke na chawa. Vipi pale pembeni ya Sia Bar, panaitwaje pale?Far away.
RedApple club imevunjwa pamegeuzwa lodge.
Pale alipokuwa anapigia mziki Dj,pamekuwa chumba namba 5(nimeambiwa tu),
Kingstar pazuri sana sema ile nyumba ya pembeni alikuwa anakaa shost angu mnoko huyo ndo mana nilikuwa naenda kwa kujificha.
Decca siku hzi kumedoda si kama enzi zile za wale Wazaire wachafu,
Kitimoto nayo vyumba ndani havijamaliziwa mpaka wa nje anawasikia makelele yenu.
Vp unapakumbuka kwa Mangi pale karibu na Kwa Mwanjesa Bar? hujawahi kwenda kweli wewe?
Halafu kuna hapa Rainer Park vp ulichinja watu wangapi pale?
Ha ha ha ha ha.
Hahahaha kwa Mangi pale bana dah! Naona siku hizi pamedoda.... Sijui bado papo? Ila Reyna kuna rafiki yangu alinambia vitanda vinalia sana. Kuna mtu alinambia kuna chimbo linaitwa Mianzini, hivi ndio wapi huko? Ila kuna siku nlikuona unaingia Vigae, vipi wameshaweka umeme? Ila usithubutu kwenda Corner bar, nasikia (kwa mujibu wa madereva wa malori naowafahamu) Ni danguro dogo lazima utoke na chawa. Vipi pale pembeni ya Sia Bar, panaitwaje pale?