Nyoka7simba40
Member
- Feb 15, 2011
- 9
- 0
jamii forum ipo kwenye (fomu),naomba mnikaribishe tucheze pamoja
Hilo jina.....hadi kulitamka inakuwa ngumu.Karibu Mkuu., Karibu Sana..
By the way Jina lako any meaning ?, nisije nikawa ninamkaribisha nyoka...
Umemuona analeta mchezo huyu,Karibu sana ila nina mashaka na wewe maana unaonekana ni kama umekuja KUCHEZA humu,na jina lako linaonesha nyoka,ndio unaocheza nao mpaka unataka tucheze na wewe?