Ndugu zanguni mimi ni mwana JF mpya nomba niwape hongera kwa kulisukuma mbele jamvi hili la JF.Naomba tushirikiane ili tuzidi kulipeleka mbele zaidi jamvi hili maana ni la muhimu sana katika kupashana habari; na kuelimishana mambo mbalimbali sisi wenyewe.Asanteni sana na tuko pamoja