nafikiri ni wakati muafaka wa kuungana na wanajamii baada ya safari ndefu na ngumu ya uchhaguzi ulopita. nasisitiza ccm ni mshindi hata kama tulichakachua hao waliochakachuliwa walikuwa wapi?
Kama wewe ni fuya kimbita uliekosa ubunge hai,na kwa post yako hii inadhihirisha bila shaka kuwa wanahai walikuwa sahihi kukunyima ubunge,,huwezi sema eti hata kama tulichakachuwa waliochakachuliwa walikuwa wapi,maana yake ni moja tu,unabariki uchakachuaji ambao ni kinyume cha sheria..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.