Hello, wana jamii

Miwatamu

JF-Expert Member
Oct 2, 2012
1,450
487
:eyebrows:
Ndugu zangu kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia sana mada mbalimbali ambazo zimekuwa zikiingizwa katika uwanja huu wa watu pevu wanaohitaji mabadiliko ya kweli! Sasa kwa kuwa sote hatuwezi kusimama kwenye majukwaa na kueleza au kutoa mchango wetu kwa lile tunalolijua au kuliamini, ndio maana nimeona kuwa ni bora niungane nanyi ili tusaidiane kutengeneza mchakato wa maisha bora yanayowezekana bila CCM. Asanteni kwa kunipokea. Nawasilisha!:poa
 
:eyebrows:
Ndugu zangu kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia sana mada mbalimbali ambazo zimekuwa zikiingizwa katika uwanja huu wa watu pevu wanaohitaji mabadiliko ya kweli! Sasa kwa kuwa sote hatuwezi kusimama kwenye majukwaa na kueleza au kutoa mchango wetu kwa lile tunalolijua au kuliamini, ndio maana nimeona kuwa ni bora niungane nanyi ili tusaidiane kutengeneza mchakato wa maisha bora yanayowezekana bila CCM. Asanteni kwa kunipokea. Nawasilisha!:poa

Tutaona faida ya wewe kuja endapo tu akili yako itakuwa na akili timamu si kama akina Zomba kukiri ukweli ni mpaka wabanwe mbavu ndiyo wanalia lia .Karibu sana jamvini ila kwa kuanza nashauri uchapwe ban kwanza ili uzinduke .
 
Wana jamvi mie c kama mnavyofikiria! kuja hapa ni kwa sababu ya kujenga hoja za msingi na wala c za kuboa mikakati ya mafanikio. Utanisoma tu, ngoja nivute pumzi.
 
Tutaona faida ya wewe kuja endapo tu akili yako itakuwa na akili timamu si kama akina Zomba kukiri ukweli ni mpaka wabanwe mbavu ndiyo wanalia lia .Karibu sana jamvini ila kwa kuanza nashauri uchapwe ban kwanza ili uzinduke .

Dah,mkuu!!
Mgeni kafanya nini hadi azinduliwe kwa ban mkuu?
 
Karibu sana mgeni
:eyebrows:
Ndugu zangu kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia sana mada mbalimbali ambazo zimekuwa zikiingizwa katika uwanja huu wa watu pevu wanaohitaji mabadiliko ya kweli! Sasa kwa kuwa sote hatuwezi kusimama kwenye majukwaa na kueleza au kutoa mchango wetu kwa lile tunalolijua au kuliamini, ndio maana nimeona kuwa ni bora niungane nanyi ili tusaidiane kutengeneza mchakato wa maisha bora yanayowezekana bila CCM. Asanteni kwa kunipokea. Nawasilisha!:poa
 
Aisee umekuja na bonge moja la idea

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Wana jamvi mie c kama mnavyofikiria! kuja hapa ni kwa sababu ya kujenga hoja za msingi na wala c za kuboa mikakati ya mafanikio. Utanisoma tu, ngoja nivute pumzi.

Karibu sana, ila jitahidi sana kutumia herufi zinazotakikana katika kiswahili
 
Back
Top Bottom