Karibu, Ila pitia mlango ule!
amkia wewe.... habari kwani tumelingana umrihabari
hamna mtu aliyemtisha ila anaambiwa ukweli, wewe hujui kuwa sasa hivi shule na vyuo vimefungwa unaweza ukamkaribisha kumbe under 18 akakumbana na mambo makubwa humu yakamchanganya akashindwa kusomaMbona mnamtisha kihivyo? suppose mngefanyiwa hayo nyinyi ingekuwaje? Karibu bwn, jimwage kisawasawa.
ilikuwaje?Amenikumbusha siku ya kwanza nilipoenda mjini...
wakubwa mnanitisha mbona ? kuweni wapoleKariboooooo.......!!!!!:welcome:
asantekaribu mwana............!