Hello wana JF!
Niliigawa Hard Disk yangu katika sehemu 4: Local Disk C, E, F na G ambapo G ni kwa ajili ya Back Up. Tatizo ni kwamba G imejaa na ninapojaribu hata kufuta baadhi ya mafaili inaniletea ujumbe huu: "There is not enough space on the disk to perform this operation" Je nifanyeje ili kupunguza mafaili katika G na nifanyeje ili next time isiwe inajaa kwa haraka? Please!
Niliigawa Hard Disk yangu katika sehemu 4: Local Disk C, E, F na G ambapo G ni kwa ajili ya Back Up. Tatizo ni kwamba G imejaa na ninapojaribu hata kufuta baadhi ya mafaili inaniletea ujumbe huu: "There is not enough space on the disk to perform this operation" Je nifanyeje ili kupunguza mafaili katika G na nifanyeje ili next time isiwe inajaa kwa haraka? Please!