Baalawy
Member
- Oct 21, 2011
- 11
- 0
Wataalamu ninaomba kuuliza kuwa kati ya hizi kozi za computer ni ipi mzuri na inamata duniani na zaid Tanzania kwa mfuatano,,kozi zinyewe ni: Bsc in information technology,,,,B.E in information technology,,,,,,Bsc in computer science,,,,B.E in computer science & engineering,,,,B.E in information science & technology na nyingine mtakazoziona ni mzuri ktk fani hii kwa technolojia ya sasa.
Na ninajipanga kwa mwakani Mungu akitujaaliya.
Na ninajipanga kwa mwakani Mungu akitujaaliya.