DaveSave
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 440
- 634
Nilisikiliza hotuba yako uliyoisoma mwisho wa mwezi na kurushwa na vyombo vya Habari mwanzo wa mwezi wa saba.Sielewi na haitonisaidia kama nikipewa maelezo.Kwangu ni kwa mara ya kwanza kukuona katika hali kama ile ya jana nadhani sasa ndio unakomaa kiakili na kuelewa yale maneno ya mwalimu ya kuwa IKULU NI MAHALI PATAKATIFU!
Uliongelea makubaliano yenu na madaktari katika vikao vya serikali yako na wao vilipokaa,na kwa watu waliokuwa wakiangalia kuanzia ukiongea kwa vitendo na kujaribu kufanya kama unawasemea madaktari kwa wananchi ambao directly ndio waajiri wao halali.Kama ulivyoheshimu moja ya maombi yao ya kubadilisha uongozi katika wizara ya afya,sasa ninachojaribu kukushauri wewe kama Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu usipojaribu kutumia busara katika hili suala la madaktari then YOU WILL BE THE NEXT PERSON TO STEP DOWN!
Because as they move then Justice must groan!
TAKECARE
Uliongelea makubaliano yenu na madaktari katika vikao vya serikali yako na wao vilipokaa,na kwa watu waliokuwa wakiangalia kuanzia ukiongea kwa vitendo na kujaribu kufanya kama unawasemea madaktari kwa wananchi ambao directly ndio waajiri wao halali.Kama ulivyoheshimu moja ya maombi yao ya kubadilisha uongozi katika wizara ya afya,sasa ninachojaribu kukushauri wewe kama Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu usipojaribu kutumia busara katika hili suala la madaktari then YOU WILL BE THE NEXT PERSON TO STEP DOWN!
Because as they move then Justice must groan!
TAKECARE