Shebi Gwara
Member
- Mar 30, 2010
- 14
- 5
Kiukweli Am Glad leo kuwa member HALALI wa JF, Ni kwa muda mrefu nilikuwa naitamani nafasi hii ya kuwa mmoja wa WADAU wa jukwaa hili, nikaona kwanini NIFE na MAUMIVU yangu?Kwa hiyo 1 namshukuru Mwenyezi kwa kunipa moyo wa ujasiri wa kuamua kukutana na WAUMIZA VICHWA WENZANGU kwa sababu naamini yeye ndo kila kitu, lakini 2 niushukuru utawala kwa kuanzisha FORUM kama hii ili vijana hata na wazee tupate kujadili yanayotokea duniani lakini,
Ombi langu kubwa MNIPOKEE mdau mwenzenu na pale ntakapoteleza basi naomba mnikosoe kwa sababu naamini kuwa;
A life spent in making mistakes is not only more honourable but more useful than a life spent in doing nothing. By George Bernard Shaw.
Ombi langu kubwa MNIPOKEE mdau mwenzenu na pale ntakapoteleza basi naomba mnikosoe kwa sababu naamini kuwa;
A life spent in making mistakes is not only more honourable but more useful than a life spent in doing nothing. By George Bernard Shaw.