Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 263
- Thread starter
- #61
Wamesema hali ya hewa mbaya, waseme hali ya hewa ya wapi tuangalie ilivyokuwa siku hiyo. Helikopta inaweza kupatikana model yake na watu wakaangalia inaweza kuhimili hali hiyo au la.
Rubani anaweza kuwa na say ya mwisho mkiwa ndani ya ndege/ helicopter, lakini akitoa statement inayoweza kuwa verified nje ya ndege/ helicopter, hana monopoly ya ukweli.
Kikwete anaweza kabisa kuwa alizimia tena, yeye machinery ya campaign yake wakadanganya watu helikopta imeshindwa kumpeleka Ngara kutokana na hali mbaya ya hewa, na wananchi kama mazuzu wakakubali tu bila kuuliza maswali.
Ndiyo maana nikauliza, hali gani ya hewa hiyo? Sehemu gani hiyo? Helikopta gani inashindwa kutua sehemu yenye visibility ya 30 miles na upepo wa 10mph ?
Au kuna kingine ? Au Kikwete kaambiwa kutokana na matatizo yake asipande midege na mi helikopta kama anaweza kwenda kwa gari ?
Angalia picha hiyo wakati natafuta Model yake