Hali ya Hewa Ngara, Tanzania :
[video]http://weather.msn.com/tenday.aspx?wealocations=wc:7428340&q=Ngara%2c+TZA+forecast:tenday[/video]
Sawa sawa, huyu mwengine (Quinine) anasema hiviSlaa aliugua kwa shock ya kuchaguliwa, nothing more...
Slaa aliposema he fell sick for 2 days haina maana alikuwa mgonjwa...
Wanamtafutia sababu mgonjwa wa taifa achoke na kuanguka! asante kutupa taarifa
Kibunango bwana
Yani wewe mwenyewe umec-cite kwamba alipata shock, tena basi sababu imesemwa, na unalinganisha na case ya JK?? tena inayoendana na helikopta, badala ya kupeleka kule kwenye jangwa episode 2??
eniwei, sina hakika jana nilisikia kwenye bar wanasema yale mambo yetu ya kiswahili huwa yanageukaga
Huyu hapa chini ana gonjwa gani?
Climataic condition zinajulika ni za equtorial tulifundishwa O level thunder storm ,heavy rain through out the year. Binafsi sishangai wangesema hali ya hewa mbaya Dar ndo ningejiuliza mara sita sita. Wangeweza hata kusema Technical problem ya Helikopter yenyewe.Climatic conditions zipi hizi zinazojulikana? Hazibadiliki?
Mbona watu wanashindwa kuwa specific in a verifiable way kama vile "kulikuwa na kimbunga pande fulani fulani" watu tuhakikishe weather.com hapa ?
Ni huu usiri siri unaotufanya tuweke maswali mengi, hata kama kitu ni cha kweli, watu wakiweka usiri mwingi na kuwa non specific wanasababisha maswali mengi kuliko wanayojibu.
Hali ya hewa gani hiyo inasababisha helikopta ishindwe kutua na kuwezesha watu kibao kwenda kwenye mkutano? Helikopta hii ya aina gani? huko Ngara kuna kimbunga gani huko?
Au Kikwete bado mgonjwa wanaficha ?
kuna wakati huwa nakupenda kiranga.....
mix with yours
Climataic condition zinajulika ni za equtorial tulifundishwa O level thunder storm ,heavy rain through out the year. Binafsi sishangai wangesema hali ya hewa mbaya Dar ndo ningejiuliza mara sita sita. Wangeweza hata kusema Technical problem ya Helikopter yenyewe.
Kwa nini u hope katika kitu kinachoweza kuwa verified ?
MKUTANO wa Kampeni wa CCM wa Jakaya Kikwete, leo majira ya saa 10 umeshindwa kufanyika wilayani Ngara mkoani Kagera kutokana na Helkopita yake kushindwa kutua kutokana na Hali ya hewa.
Kutokana na hali hiyo imembidi mwenyekiti wa CCM wilayani Ngara Hellena Adrian alilazimika kuwataarifu wananchi kuwa mkutano huo hautafanyika ikiwa ni majira ya saa 11:30 jioni na kueleza kuwa badala yake mkutano huo utafanyika kesho majira ya saa 2: 00, na kubainisha kuwa Kikwete amelazimika kusafiri kwa Magari.
Sasa how can we verify wanachosema ni kweli au si kweli na nani wa kuverify.? Initial verification inaweza kuwa kutambua uwezo wa helikopta kuhimili hali mbaya ya hewani mdogo. Kumbuka hali mbaya ya hewa kwa ndege inaweza kuwa defined as catastropihic weather condition kwa helikopta.
na mwisho wa siku Rubani ndo ana say ya mwisho.
Hizo data za weather zinaweza kuhojiwa usahihi wake sababu utaulizwa wamezitoa kutoka weather station ipi .. It could be true weather haikuwa nzuri.
Ni uwanja gani wa ndege tanzania unaongoza kwa ndege kushindwa kutua na kurudi zilikotoka. Ni kigoma na Bukoba