Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Kwanini haikutumika jana kupunguza idadi ya Vifo?
Badala yake zilitumika zaidi boti za Kutoka Zanzibar ambapo kwa kiasi kikubwa zilichelewa kufika.
kama ingalitumika Helikopta iliotumika kuzuia Uamsho hali isingefikia hivyo ilivyofikia
Badala yake zilitumika zaidi boti za Kutoka Zanzibar ambapo kwa kiasi kikubwa zilichelewa kufika.
kama ingalitumika Helikopta iliotumika kuzuia Uamsho hali isingefikia hivyo ilivyofikia