Hela yetu haina tena mvuto

Shine

JF-Expert Member
Feb 5, 2011
11,481
1,364
Hii hela ni nyingi ila haina mvuto tena kutokana na kushuka thamani

63496_149334628451299_100001242889796_263694_3944748_n.jpg
 
Hata Shilingi 1 ya uganda utatumia Shilingi 6 za Tanzania kuipata... HONGERA SANA KIKWETE... wakati anaingia Hela yetu ilikuwa na tofauti ya Shilingi 200 nzima
 
Hilo furushi hata gari ya maana hupati hapo, ni makaratasi matupu hayo
 
sera mbaya za uchumi unategemea nini?...utadhani kama Tanzania hakuna wachumi...wao kila kitu wamegeuza siasa...hakuna hata concrete plans za kuiokoa Tshs isizidi kuanguka...bado wao hawajaona kuwa kuporomoka kwa Tsh ni tatizo la dharura....mpaka maji yakifika shingoni ndo utasikia wanakuja na mpango wa kufufua uchumi...!
 
Back
Top Bottom