Hata Shilingi 1 ya uganda utatumia Shilingi 6 za Tanzania kuipata... HONGERA SANA KIKWETE... wakati anaingia Hela yetu ilikuwa na tofauti ya Shilingi 200 nzima
sera mbaya za uchumi unategemea nini?...utadhani kama Tanzania hakuna wachumi...wao kila kitu wamegeuza siasa...hakuna hata concrete plans za kuiokoa Tshs isizidi kuanguka...bado wao hawajaona kuwa kuporomoka kwa Tsh ni tatizo la dharura....mpaka maji yakifika shingoni ndo utasikia wanakuja na mpango wa kufufua uchumi...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.