Mgeninani
Senior Member
- Jan 3, 2010
- 191
- 9
Majirani wa kota za polisi Kunduchi walifanikiwa kuudhibiti moto uliowaka moja wapo ya nyumba zao majira ya saa tano leo asubuhi na kufanikiwa kuokoa mali na vitu mbalimbali kabla ya vikosi vya zimamoto kuja na kumalizia kuudhibiti hekoni sana, ni tendo la nadra kuonekana ktk jamii zetu siku hizi!