Domo Kaya
JF-Expert Member
- May 29, 2007
- 531
- 59
Viwanja ni vyao wenyewe, sie tumeenda kuchukuwa form na tumeambiwa zimeisha, sasa wewe fikiria form zimeanza kuuzwa jana na zimeisha jana hiyo hiyo, jamani hii imawezekana. Si bora wasingetangaza tu tujue viwanja vimeuzwa kisirisiri. Hao waliobahatika kupata form zenyewe sidhani kama watapata hivyo viwanja.Kwa habari nlizonazo mimi ni kwamba fomu zilizotolewa ni 2800 na plot zilizopo ni 700 tu...ratio itakuwa ni 1:4 na fomu hizi ziliisha tangu jana mjira ya saa tano asubuhi. Watu walikuwa wengi sana ukilinganisha na idadi ya fomu zilizokuwa zimeandaliwa sasa kama ilikuwa tumepanga foleni ya masalia ya viwanjwa walivyokwisha gawana watakuwa wametuumiza sana na pia kutupotezea muda wetu. Km habari hizi ni za kweli basi taifa letu linapotea maana ni km vile walikuwa wanatu enjoy tu. Pia ratio ya mgao haitakuwa km ninavyodhani.