mama yuva
JF-Expert Member
- Aug 3, 2010
- 226
- 47
Jamani manispaa Temeke wametangaza viwanja 2800, watu waanze kujaza form tangu tarehe 30 may mpaka tar 3 june, jana ndio siku ya kwanza, saa saba wanasema hakuna couponi zitakuja baadaye. leo asubuhi watu wanaambiwa viwanja vimeisha na eti kuna watu walishajiandikisha tangu zamani na ndio wamepewa priority. sasa kwa nini walitangaza?
hao waliojiandikisha walijiandikisha kwa misingi ipi? si kuna harufu ya UFISADI hapo?
hao waliojiandikisha walijiandikisha kwa misingi ipi? si kuna harufu ya UFISADI hapo?