Hekalu la nani hili?

Hii post ya nani kwani?

attachment.php

:juggle::juggle::juggle:
 
Heheheee kuna watu humu eti Hawa ndo ma role model waoo.....
 
brother angepata uraisi ingerudi na kwambia na mngetukoma humu,kuanzia boyfriend hadi wapambe wake
NB;wa uswazi ni wauswazi hata umpeleke Seychelles"
 
Au utakuwa bado unaishi kotaz za polisi. Maana nimeangalia jina lako tu nikajua ni mtu wa namna gani.
 
Hlf wala c jumba la ajabu, ndio nzuri lkn c kuishabikia, me nina mkwe wangu mdogo wamenunua hzi nyumba 6, c ziko nyuma ya myfare plaza, so me naona za kawaida, hata m2 waweza jenga

Ukiachika utajivunia nazo? acha misifa ya kibwe.ge
 
Hlf wala c jumba la ajabu, ndio nzuri lkn c kuishabikia, me nina mkwe wangu mdogo wamenunua hzi nyumba 6, c ziko nyuma ya myfare plaza, so me naona za kawaida, hata m2 waweza jenga

Mswahili kwa hasada ni nguli

Nyumba nzuri maashaallah
 
Back
Top Bottom