mpiganaji86
Senior Member
- Sep 26, 2011
- 110
- 13
Nimepitia makala hii kwa umakini sana nakuona dhahiri uyu mhariri wa mwananchi moses mashala ndani ya ukurasa wa 11 wa gazeti ameipamba cuf kana kwamba kama vile hawa ccm b wameiteka arusha nashangaa sana chama ambacho kimebeba watu toka dar mpaka arusha na macoster alafu mhariri anasema kwamba walijaza mkutano inaonekana wazi amekula rushwa , kampuni ya mwananchi kama mnasoma humu angalieni wahariri kama hawa watawapotezea wateja maana gazeti lenu limekuwa na wasomaji wengi sana ndani ya nchi na nje ya nchi,nimeona nilete hapa jamvini na nyie wadau mchangie hili